sawe4u
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 973
- 571
Jana nilifanya matembez katika vijiji kadhaa (w) Newala ila sasa nimekuta kuna vijiji watu wanauza viwanja bei rahisi sasa wasi wasi wangu ni
1>viwanja vile havijapimwa so kama nikinunua serikali wakija pima waninyang'anya au.....
2:-Kuna taratibu gan kama nikinunua nifanye ili viwe salama kbsa
Niambieni maana nashida na viwanja maeneo hayo kwa ajili ya uwekezaje wangu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
1>viwanja vile havijapimwa so kama nikinunua serikali wakija pima waninyang'anya au.....
2:-Kuna taratibu gan kama nikinunua nifanye ili viwe salama kbsa
Niambieni maana nashida na viwanja maeneo hayo kwa ajili ya uwekezaje wangu ?
Sent using Jamii Forums mobile app