Naomba kujua kuhusu Screen Liquid Protector

mobakha

Member
Mar 7, 2014
99
18
Natumai ni wazima,

leo nakuja na swali nataka nijibiwe maana huku kwetu nimeona sana huduma hii nataka nitumie ila nasita kiukweli maana sijui ubora wake. Ni nini faida na hasara ya Liquid Screen Protector za simu?

Natanguliza shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini asitumie?ingependeza zaidi Kama ungetufafanulia ili sote tuelewe madhara/faida yake

Sent using Jamii Forums mobile app


Inasemekana inapasua kioo cha ndani cha simu.
Na ukiieweka umeweka huweza kuitoa; hata kama ukibahatika kioo cha ndani kisipopasuka, ikitokea fraction yoyote na unataka kubadili protector lazima kioo cha ndani kitapasuka tu.

Ni mfano wa kumwaga aina ya gundi kama super glue kwenye kioo.....kuna mawili, either kioo kipasuke au wakati wa kuitoa hiyo super glue iharibu kioo.

Nadhani umeelewa kiasi.
 
Inasemekana inapasua kioo cha ndani cha simu.
Na ukiieweka umeweka huweza kuitoa; hata kama ukibahatika kioo cha ndani kisipopasuka, ikitokea fraction yoyote na unataka kubadili protector lazima kioo cha ndani kitapasuka tu.

Ni mfano wa kumwaga aina ya gundi kama super glue kwenye kioo.....kuna mawili, either kioo kipasuke au wakati wa kuitoa hiyo super glue iharibu kioo.

Nadhani umeelewa kiasi.
Ndio nimeelewa, shukran sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom