Naomba kujua kuhusu kampuni ya Rokalt Consulting

BAKOI

JF-Expert Member
Jan 31, 2016
1,213
2,326
Heshima kwenu wakuu na poleni kwa majukumu. Ombi langu kwenu n kwamba nimepata e-mail kutoka katika kampuni ya "ROKALT CONSULTING"" Wananhitaji katika interview (mahojiano) 4/3/2017 ila nimepata mashaka kidogo kwasababu wameniambia nitume sh 20000 kwa mpesa kuna namba wamezitaja leo mwisho saa moja jioni. Ombi langu kwenu naomba ushauri Kama mnaijua hii kampuni.

Na kwa wale waliopitia interview mbalimbali je imehawi kuwakuta hii namkafanikiwa? Wenu mtiifu
 
Huo ni utapeli.. ingia jukwaa la Nafasi za Kazi na Tenda, utawaona hao watu.. tumeshawaongelea sana
 
Back
Top Bottom