Naomba kujua kuhusu déjà vu

Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
Ulikua na urafiki na mzimu mkuu?? Duh watu wajua mengi Dunia hii.
 
yap uko sawa kbs ndg yang mental health iyo psychological issues !!! sioni nyongeza kwa ulivyosema ndo navyofaham nam
 
Dah! Nimeogopa sana maana hii imenitokea siku za jirani

Hutakiwi kuogopa mkuu.

Coz hao viumbe ni wapo na tunaishi nao kwenye maisha yetu ya kila siku kiongozi.

Ntakuja PM tupige story kidogo mkuu. Thanks.
 
The term déjà vu is French and means, literally, "already seen." Those who have experienced the feeling describe it as an overwhelming sense of familiarity with something that shouldn't be familiar at all. Say, for example, you are traveling to England for the first time. You are touring a cathedral, and suddenly it seems as if you have been in that very spot before. Or maybe you are having dinner with a group of friends, discussing some current political topic, and you have the feeling that you've already experienced this very thing -- same friends, same dinner, same topic.
I conquer with you Brother!
 
Hii inaitwa TELEPATH mzee ni Mind to mind communication also can be mind to event communication few people have this ability but also can be taught especially for psychologists and spies but kwa wale with natural ability huwa wakijihisi tu changes in their body something might happen like if ghafla he feel uncomfortable lazima ataskia taarifa mbaya au. Atakumbwa na kitu kibaya
na hii huwa inanitokea mara nyingi maana nikijihisi uncomfortable then kuna taarifa au jambo baya litatokea na endapo nitajaribu kuwazia kuwa pengine ni jambo fulan bas huwa contrary kabisa na like nmewazia au kufikiria.
 
Habari zenu .....
Wanajamvi naomba kujua sababu ya kuona vitu au siku zinajirudia yani naweza kukaa siku nikaona kama matukio yanajirudia Yan nikaona kama hiyo siku nilishawahi kuiona na kufanya hayo mambo yanayotendeka kwa muda huo....

Pia naweza kuwa nimemkumbuka mtu halafu namuona hata kama hatujaonana siku au muda mrefu au naweza kuhisi mtu fulani atanipigia simu na anapiga simu siku hiyo .Je hii ndo de javu au kuna kitu kingine.
Master key system
 
Wakuu hapa kuna vitu tunajichanganya...De javu na Telepathy ni vitu viwili tofauti..
Kwa kifupi, de javu ni ile hali ambapo unaona hali au mazingira na ubongo wako unajaribu kukumbusha (recalling/re-fetching memories) ya jambo au mazingira hayo na kisha kuikosa !!!! Unapoikosa sasa ndipo hali halisi ya mazingira inapojitokeza unahis kama ulishawai kuiona..HIKI HUWA KITENDO CHA KASI SANA KIASI CHINI YA NUKTA 0.1
(Kama nmekuacha uliza)
Hapa ndo umeelezea vzr
 
Mkuu, huyu jamaa nilikutana nae maeneo ya Kinondoni mitaa ya studio.

Nilikuwa na baadhi ya jamaa tukiwa tunakunywa ili kuweka kichwa sawa na kuchangamsha mwili kiasi. Ndipo akaja mtu mmoja akatueleza hapo barabarani kuna mwarabu mmoja hatumuelewi elewi tukimuuliza haongei chochote ndipo nikasema acha niende. Kufika tu nikaanza kumsemesha akawa ananijibu.

Nikamshawishi tuondoke na kwenda kwenye kikao chetu ili kujua kama nae anakunywa au laa. Kufika eneo la kilaji jamaa ikawa haongei na yoyote zaidi yangu.

Aisee, ni story ndefu wakuu ila mambo yaliyonitokea kipindi chote ambacho tupo wote ndio yaliyopelekea kujua kuwa hakuwa binadam.

Natumai nimejibu maswali yako mkuu.

Shukran.
Tunaitaka ikiwa full story hii mkuu samahan lkn!
 
Jamaa alikuwa ni mwema tu japo aliwahi kuniambia kuwa ametumwa na wakubwa wake aje kunichukua anipeleke ujinini ila anashindwa coz kuna nguvu zinanilinda hivyo anashindwa kunichukua.

Ikamlazimu yeye kushindwa kutimiza hilo jambo na akawa anaogopa kurudi ujinini bila ya kurudi na kile alichoagizwa (MIMI).

Mpaka kulala nae nlikuwa nalala nae usiku mambo nliyokuwa nikiyaona acha tu. Majini bwana wana vituko sana.
Ulianza vizuri tu lakini kadri watu wanavyokushinikiza utoe muendelezo unakuja na miendelezo inayotia mashaka kama ni halisi au ya kutunga.
 
Habari member.
Heri ya mwaka mpya

Kuna wakati katika stori na watu hutokea stori ambayo kifikila kama ushawahi iskia na kuiongea kabla na watu haohao sehemu iyo uyo na hadi hako katukio kuisha unaona ya ndo yenyewe.
Muda mwingine unatembea kinatokea kitukio ambacho kama ushawahi kukifnya sehemu iyo iyo hata kama hujawah kufika sehemu iyo kabla.
NAOMBA KUJUZWA KUHUSU HIKI KITU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
aisee, alikuwa ngo'mbe au
 
Back
Top Bottom