Naomba kujua kuhusu déjà vu

Ndio yenyewe.
Cfddoyy
Ukifungua uzi fanya kunitag mkuu
Ubd
Fncnpk
kuna mambo mnayazungumza naona kama yanaukweli ndani yake kwaupande wangu kuna mambo nimesha yazoea sana sasa mfano kila nikipata tatizo lolote liwe kujibizana au hata ugonvi lazima jana yake nitakuwa naota nafukuzwa na simba au namfukuza paka nimesha zoea kujua kesho yangu kama kutakua na tatizo sasa kibaya zaidi mtu nikimuwaza sana au kumkumbuka lazima siku hiyo nimuone japo historia yangu ina utata kidigo kuna wakati sasa hata tukiwa wawili tukiwa umenyamaza ikitokea tu nimewaza wimbo flani basi wewe utaimba kwawakati huo kwakifupi nimekua ni mtu wamachale machale mfano kila ninapo ota ndoto za kutisha mfano kuona baazi ya ngugu ambao wamesha tangulia mbele za haki mfano hasa babu yangu lazima kesho nipate pesa kwa njia yoyote ila sasa huyu babu alitokea kunipenda utotoni na alinitabilia mambo kuhusu maisha yangu ambayo 80% nikweli yanatimia ila alikuwa ni mtemi huko kijijini unyamwezini hebu nisaidieni au kunamambo alinifanyia au ni karama niliyo pewa namungu
 
Mkuu, hii huwa inanitokea sana tu. naweza kuwa nafanya jambo fulani or kwenda sehemu fulani but mazingira yale ni kama nimewahi kuwepo lakini kwa njia ya ndoto. naweza kuota na nikasahau but once naweza kuwa sehemu then ile ndoto ikajirudia/nikakumbuka kuwa haya maeneo siyo mageni....
me mwenyewe huwa inanitokea mara nyingi sana naweza kuwa nafanya kitu flani siku nyingne sehemu nyingne ila ikafanana na tukio la nyuma location ile ile na tukio lile lile hadi natabiri tukio litakavyoisha na kweli inakuwa exactly the same sasa sijui hii ni nini nimeshawah kufikiria mara nyingi sana hali hii ila nakosa majibu ya uhakika
 
kuona vitu au siku zinajirudia yani naweza kukaa siku nikaona kama matukio yanajirudia Yan nikaona kama hiyo siku nilishawahi kuiona na kufanya hayo mambo yanayotendeka kwa muda huo....

ishawahi kunitokea mara nyingi tu, ila sikujuwa kama ni hiyo kitu inaitwa de ja vu.

by the way kuna madhara yoyote ukitokewa na de ja vu?
 
Mkuu, huyu jamaa nilikutana nae maeneo ya Kinondoni mitaa ya studio.

Nilikuwa na baadhi ya jamaa tukiwa tunakunywa ili kuweka kichwa sawa na kuchangamsha mwili kiasi. Ndipo akaja mtu mmoja akatueleza hapo barabarani kuna mwarabu mmoja hatumuelewi elewi tukimuuliza haongei chochote ndipo nikasema acha niende. Kufika tu nikaanza kumsemesha akawa ananijibu.

Nikamshawishi tuondoke na kwenda kwenye kikao chetu ili kujua kama nae anakunywa au laa. Kufika eneo la kilaji jamaa ikawa haongei na yoyote zaidi yangu.

Aisee, ni story ndefu wakuu ila mambo yaliyonitokea kipindi chote ambacho tupo wote ndio yaliyopelekea kujua kuwa hakuwa binadam.

Natumai nimejibu maswali yako mkuu.

Shukran.
Endelea kidogo mkuu
 
Ile hali ya kuota au kuhisi kitu na kikatokea kweli unaitwaje cz maelezo ya wachangia mada yana mkanganyiko kidogo
Nitolee mfano mimi kuna siku niliota japo sikua nimelala(yaani ni kama nilipitiwa na kama ndoto au maono flani hiv nikiwa sijafumba macho wala sijalala)kuna tetemeko limetokea mahali ...kesho yake ikatokea tetemeko kule bukoba ..hii hali imekua ikunitokea mara kwa mara japo ni kwa matukio tofauti tofauti (mtanisamehe mimi siyo msimuliaji mzuri na mwandishi mzuri) ila ningependa kupata ufafanuzi zaidi wa situation kama hiyo ni hali ya kawaida? Je kwa lugha ya kitaalamu inaitwaje?
wew utakua na walimu kichwani bila kujijua. nenda ukajiangalie kama imani ya dini yako inakuruhsu. huo ni utabiri.
 
Kama kawaida hua nakuja kumaliza mambo yote ya kiuchawi uchawi na sijui roho blah blah.

Deja Vu iko hivi, unahisi ume-experience kitu before ila ukweli ni kua ndiyo mara ya kwanza una-experience, na hakuna kua ulikiota wala nini, kinachotokea ni glitch tu kwenye brain inajikuta signal imekua transmitted mara mbili, nyingine haraka nyingine polepole, utofauti ni ka sekunde moja tu, signal ya pili ikifika kwa kua ni kitu kilekile unakaa unahisi hili jambo mbona nishawahi kuliona sehemu, kumbe ni glitch tu kwenye ubongo kuchelewa kutafsiri signal moja ambayo ni ileile sawa na ya kwanza.

Mambo sijui ya nguvu, superhero, avengers, roho na madudu mengine yote cheche tu, mtu aje na evidence sio kupiga blah blah.
 
Kama kawaida hua nakuja kumaliza mambo yote ya kiuchawi uchawi na sijui roho blah blah.

Deja Vu iko hivi, unahisi ume-experience kitu before ila ukweli ni kua ndiyo mara ya kwanza una-experience, na hakuna kua ulikiota wala nini, kinachotokea ni glitch tu kwenye brain inajikuta signal imekua transmitted mara mbili, nyingine haraka nyingine polepole, utofauti ni ka sekunde moja tu, signal ya pili ikifika kwa kua ni kitu kilekile unakaa unahisi hili jambo mbona nishawahi kuliona sehemu, kumbe ni glitch tu kwenye ubongo kuchelewa kutafsiri signal moja ambayo ni ileile sawa na ya kwanza.

Mambo sijui ya nguvu, superhero, avengers, roho na madudu mengine yote cheche tu, mtu aje na evidence sio kupiga blah blah.
ngoja waje mkuu
 
ngoja waje mkuu
Nawasubiri vizuri waje maana waafrika hua tunakimbilia uchawi na dini kwenye kila jambo badala ya kushughulisha ubongo kwanza. Moja ya sababu bado tuko nyuma, tunaamini madudu sana.
 
Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
nmesoma usiku huu nmeogopa
 
Basi ni sawa wakuu ntalifanyia kazi hili wazo wandugu.

Ila kiukweli hawa viumbe tunapishana nao sana mitaani na haya mambo yapo wakuu.

Tuko pamoja wandugu.

Thanks.
Ulishaelezea hicho kitu mkuu?
 
Back
Top Bottom