- Thread starter
- #41
naomba unielekeze jinsi ya kufanya meditation au kuna sehem watu wana fanya meditation mkuuwakuu,m nna story ndef kdogo lakin niseme tu mamb mengi nayopitia now nlishawah kuyaota ktambo mengne toka o level huko ni ktambo,ila bado mengne meng nayasubir yatokee,lakn vile vile nna kawaida km nikiota ndoto nzur kesho yak tukio baya utokea,km ndoto ni mbaya kesho lazma ntoboe sana,na km nmeonda alaf kesho yasitokee bas yao unikutaga mbelen tna huwaga mambo mazur,baada ya kujiona iv mwenyewe nkajipeleka kwenye meditation ,n hayo tu wakuu