Naomba kujua kuhusu déjà vu

habari zenu .....wanajamvi naomba kujua sababu ya kuona vitu au siku zinajirudia yani naweza kukaa siku nikaona kama matukio yanajirudia Yan nikaona kama hiyo siku nilishawahi kuiona na kufanya hayo mambo yanayotendeka kwa muda huo....pia naweza kua nimemkumbuka mtu halafu namuona hata kama hatujaonana siku au muda mrefu au naweza kuhisi mtu fulani atanipigia simu na anapiga simu siku hiyo .Je hii ndo de javu au kuna kitu kingine.
Kuna watu humu walikuwaga wanatoa elimu hii bure humu jukwaani @Pasco Rakims @ Mshana Jr
Lakini siku hizi wako kimya sijui wamekufa au ni wale waliookotwa kwenye mifuko nawaza tu lakini.!
 
Tobaaa..nn maana ya De ja vu maana according to ww inaelekea maana yake ni tofauti na wachangiaji wengine hapo juu.. tudadavulie mkuu tuongeze maarifa
DE JA VU NI NINI?

De Ja Vu ni hali ya kiasili kabisa na ya kiuwezo wa pekee inayomtokea Kiumbe cha Mungu na ni hali ya kufahamu yanayomtokea mbeleni, au muda mfupi ujao kwa kurecall hali hiyohiyo iliyowahi kumtokea kipindi flan katika maisha yake na akairecord katika kumbukumbu bila kujua hiyo siku itajirudi baadaye maishani.

Pasco alieleza vizuri kwa kiasi chake.

Kiimani ama kiroho, hali hiyo hiyo ndiyo itakayomtokea mtu kabla ya kufa kwake kwa kukumbushwa kwa kuona kabisa yaliyotokea maishani mwake tangu kuzaliwa kwake ila hatakuwa na uwezo kwa kuzungumza.

Hali nyingine itakayomtokea mtu ni ile ya sleeping paralysis.
 
Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
duuh hakua binadamu alikua nani mkuu
 
DE JA VU NI NINI?

De Ja Vu ni hali ya kiasili kabisa na ya kiuwezo wa pekee inayomtokea Kiumbe cha Mungu na ni hali ya kufahamu yanayomtokea mbeleni, au muda mfupi ujao kwa kurecall hali hiyohiyo iliyowahi kumtokea kipindi flan katika maisha yake na akairecord katika kumbukumbu bila kujua hiyo siku itajirudi baadaye maishani.

Pasco alieleza vizuri kwa kiasi chake.

Kiimani ama kiroho, hali hiyo hiyo ndiyo itakayomtokea mtu kabla ya kufa kwake kwa kukumbushwa kwa kuona kabisa yaliyotokea maishani mwake tangu kuzaliwa kwake ila hatakuwa na uwezo kwa kuzungumza.

Hali nyingine itakayomtokea mtu ni ile ya sleeping paralysis.
Mkuu huo uzi wa pascal upo jukwaa gan niutafute
 
wakuu,m nna story ndef kdogo lakin niseme tu mamb mengi nayopitia now nlishawah kuyaota ktambo mengne toka o level huko ni ktambo,ila bado mengne meng nayasubir yatokee,lakn vile vile nna kawaida km nikiota ndoto nzur kesho yak tukio baya utokea,km ndoto ni mbaya kesho lazma ntoboe sana,na km nmeonda alaf kesho yasitokee bas yao unikutaga mbelen tna huwaga mambo mazur,baada ya kujiona iv mwenyewe nkajipeleka kwenye meditation ,n hayo tu wakuu
 
Wakuu hapa kuna vitu tunajichanganya...De javu na Telepathy ni vitu viwili tofauti..
Kwa kifupi, de javu ni ile hali ambapo unaona hali au mazingira na ubongo wako unajaribu kukumbusha (recalling/re-fetching memories) ya jambo au mazingira hayo na kisha kuikosa !!!! Unapoikosa sasa ndipo hali halisi ya mazingira inapojitokeza unahis kama ulishawai kuiona..HIKI HUWA KITENDO CHA KASI SANA KIASI CHINI YA NUKTA 0.1
(Kama nmekuacha uliza)
 
mkuu kama umeajiriwa, na unakatwa ile 18%

acha kazi maana njia yako umeshaiona

uwe mtabiri utapiga pesa mingi sana,

trust me, maana na mimi nilishakuonea hii ninayokwambia
 
When your brain tries to apply memory of a past situation to current, fails and make you feel like it has already happened!!
Umekaa sehem unahis kuna mtu atakuja, na kweli anakuja then unasema /unahisi ushawai kuiona hiyo hali!!
 
wakuu,m nna story ndef kdogo lakin niseme tu mamb mengi nayopitia now nlishawah kuyaota ktambo mengne toka o level huko ni ktambo,ila bado mengne meng nayasubir yatokee,lakn vile vile nna kawaida km nikiota ndoto nzur kesho yak tukio baya utokea,km ndoto ni mbaya kesho lazma ntoboe sana,na km nmeonda alaf kesho yasitokee bas yao unikutaga mbelen tna huwaga mambo mazur,baada ya kujiona iv mwenyewe nkajipeleka kwenye meditation ,n hayo tu wakuu
Meditation???? Kwa nini???
 
Nimesikia sikia hiyo De Javu inawatokea sana wala Ugoro????
Nimesikia tu
 
Ile hali ya kuota au kuhisi kitu na kikatokea kweli unaitwaje cz maelezo ya wachangia mada yana mkanganyiko kidogo
Nitolee mfano mimi kuna siku niliota japo sikua nimelala(yaani ni kama nilipitiwa na kama ndoto au maono flani hiv nikiwa sijafumba macho wala sijalala)kuna tetemeko limetokea mahali ...kesho yake ikatokea tetemeko kule bukoba ..hii hali imekua ikunitokea mara kwa mara japo ni kwa matukio tofauti tofauti (mtanisamehe mimi siyo msimuliaji mzuri na mwandishi mzuri) ila ningependa kupata ufafanuzi zaidi wa situation kama hiyo ni hali ya kawaida? Je kwa lugha ya kitaalamu inaitwaje?
 
The term déjà vu is French and means, literally, "already seen." Those who have experienced the feeling describe it as an overwhelming sense of familiarity with something that shouldn't be familiar at all. Say, for example, you are traveling to England for the first time. You are touring a cathedral, and suddenly it seems as if you have been in that very spot before. Or maybe you are having dinner with a group of friends, discussing some current political topic, and you have the feeling that you've already experienced this very thing -- same friends, same dinner, same topic.
Mkuu, hii huwa inanitokea sana tu. naweza kuwa nafanya jambo fulani or kwenda sehemu fulani but mazingira yale ni kama nimewahi kuwepo lakini kwa njia ya ndoto. naweza kuota na nikasahau but once naweza kuwa sehemu then ile ndoto ikajirudia/nikakumbuka kuwa haya maeneo siyo mageni....
 
Back
Top Bottom