Naomba kujua kuhusu déjà vu

Tuchki

JF-Expert Member
Feb 1, 2017
1,740
1,435
Habari zenu .....
Wanajamvi naomba kujua sababu ya kuona vitu au siku zinajirudia yani naweza kukaa siku nikaona kama matukio yanajirudia Yan nikaona kama hiyo siku nilishawahi kuiona na kufanya hayo mambo yanayotendeka kwa muda huo....

Pia naweza kuwa nimemkumbuka mtu halafu namuona hata kama hatujaonana siku au muda mrefu au naweza kuhisi mtu fulani atanipigia simu na anapiga simu siku hiyo .Je hii ndo de javu au kuna kitu kingine.
 
habari zenu .....wanajamvi naomba kujua sababu ya kuona vitu au siku zinajirudia yani naweza kukaa siku nikaona kama matukio yanajirudia Yan nikaona kama hiyo siku nilishawahi kuiona na kufanya hayo mambo yanayotendeka kwa muda huo....pia naweza kua nimemkumbuka mtu halafu namuona hata kama hatujaonana siku au muda mrefu au naweza kuhisi mtu fulani atanipigia simu na anapiga simu siku hiyo .Je hii ndo de javu au kuna kitu kingine.
Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
 
Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
Mkuu huyo jamaa kama hakuwa mtu alikuwa nani mkuu....mmmmmmh?
 
The term déjà vu is French and means, literally, "already seen." Those who have experienced the feeling describe it as an overwhelming sense of familiarity with something that shouldn't be familiar at all. Say, for example, you are traveling to England for the first time. You are touring a cathedral, and suddenly it seems as if you have been in that very spot before. Or maybe you are having dinner with a group of friends, discussing some current political topic, and you have the feeling that you've already experienced this very thing -- same friends, same dinner, same topic.
 
Jazia nyama mkuu ulijuaje kama ni Jini na ulifahamiana nae vipi?
Mkuu, huyu jamaa nilikutana nae maeneo ya Kinondoni mitaa ya studio.

Nilikuwa na baadhi ya jamaa tukiwa tunakunywa ili kuweka kichwa sawa na kuchangamsha mwili kiasi. Ndipo akaja mtu mmoja akatueleza hapo barabarani kuna mwarabu mmoja hatumuelewi elewi tukimuuliza haongei chochote ndipo nikasema acha niende. Kufika tu nikaanza kumsemesha akawa ananijibu.

Nikamshawishi tuondoke na kwenda kwenye kikao chetu ili kujua kama nae anakunywa au laa. Kufika eneo la kilaji jamaa ikawa haongei na yoyote zaidi yangu.

Aisee, ni story ndefu wakuu ila mambo yaliyonitokea kipindi chote ambacho tupo wote ndio yaliyopelekea kujua kuwa hakuwa binadam.

Natumai nimejibu maswali yako mkuu.

Shukran.
 
habari zenu .....wanajamvi naomba kujua sababu ya kuona vitu au siku zinajirudia yani naweza kukaa siku nikaona kama matukio yanajirudia Yan nikaona kama hiyo siku nilishawahi kuiona na kufanya hayo mambo yanayotendeka kwa muda huo....pia naweza kua nimemkumbuka mtu halafu namuona hata kama hatujaonana siku au muda mrefu au naweza kuhisi mtu fulani atanipigia simu na anapiga simu siku hiyo .Je hii ndo de javu au kuna kitu kingine.

i thought i was alone........ or some how dreaming... kumbe tuko weng
 
Mkuu, huyu jamaa nilikutana nae maeneo ya Kinondoni mitaa ya studio.

Nilikuwa na baadhi ya jamaa tukiwa tunakunywa ili kuweka kichwa sawa na kuchangamsha mwili kiasi. Ndipo akaja mtu mmoja akatueleza hapo barabarani kuna mwarabu mmoja hatumuelewi elewi tukimuuliza haongei chochote ndipo nikasema acha niende. Kufika tu nikaanza kumsemesha akawa ananijibu.

Nikamshawishi tuondoke na kwenda kwenye kikao chetu ili kujua kama nae anakunywa au laa. Kufika eneo la kilaji jamaa ikawa haongei na yoyote zaidi yangu.

Aisee, ni story ndefu wakuu ila mambo yaliyonitokea kipindi chote ambacho tupo wote ndio yaliyopelekea kujua kuwa hakuwa binadam.

Natumai nimejibu maswali yako mkuu.

Shukran.
Mkuu tunaomba utupe hiyo story inavutia kwa kweli itendee haki tupate kuondoa mawazo ya awamu hii ya tano . Tupe vitu ndugu japo nusunusu kama afanyavyo The bold.
 
Mkuu, huyu jamaa nilikutana nae maeneo ya Kinondoni mitaa ya studio.

Nilikuwa na baadhi ya jamaa tukiwa tunakunywa ili kuweka kichwa sawa na kuchangamsha mwili kiasi. Ndipo akaja mtu mmoja akatueleza hapo barabarani kuna mwarabu mmoja hatumuelewi elewi tukimuuliza haongei chochote ndipo nikasema acha niende. Kufika tu nikaanza kumsemesha akawa ananijibu.

Nikamshawishi tuondoke na kwenda kwenye kikao chetu ili kujua kama nae anakunywa au laa. Kufika eneo la kilaji jamaa ikawa haongei na yoyote zaidi yangu.

Aisee, ni story ndefu wakuu ila mambo yaliyonitokea kipindi chote ambacho tupo wote ndio yaliyopelekea kujua kuwa hakuwa binadam.

Natumai nimejibu maswali yako mkuu.

Shukran.
Fungua uzi af nitag mkuu inaonekan una fascinating life story I wanna hear more of it..
 
Mkuu, huyu jamaa nilikutana nae maeneo ya Kinondoni mitaa ya studio.

Nilikuwa na baadhi ya jamaa tukiwa tunakunywa ili kuweka kichwa sawa na kuchangamsha mwili kiasi. Ndipo akaja mtu mmoja akatueleza hapo barabarani kuna mwarabu mmoja hatumuelewi elewi tukimuuliza haongei chochote ndipo nikasema acha niende. Kufika tu nikaanza kumsemesha akawa ananijibu.

Nikamshawishi tuondoke na kwenda kwenye kikao chetu ili kujua kama nae anakunywa au laa. Kufika eneo la kilaji jamaa ikawa haongei na yoyote zaidi yangu.

Aisee, ni story ndefu wakuu ila mambo yaliyonitokea kipindi chote ambacho tupo wote ndio yaliyopelekea kujua kuwa hakuwa binadam.

Natumai nimejibu maswali yako mkuu.

Shukran.
Mhhh mkuuu tueleze kwa kirefu jmnii usitubaniee
 
Sijui aisee kama ndio deja vu au laa. Ila niliwahi kusoma humu uzi wa @Pasco kuhusu Psychic Powers ambazo kila mtu anazo tangu utoto ila huwa zinapungua/zinazidiana kadri ubongo unavyozidi kujaa mambo mengi ya nje. Tafuta huo uzi utaelewa zaidi.

Hilo suala la kumkumbuka mtu then ukamuona siku hiyo pia ni uwezo wa akili sjui niite ni connection kati ya mtu na mtu ila kwa mimi ilikuwa inanitokea kwa jamaa yangu mmoja tu ambaye nimekaa nae kwa muda wa miaka mitatu ila sikuwahi kujua anapokaa na ilikuwa nikimuuliza hataki kusema.

Huyu jamaa ilikuwa siku nikimuwaza au kumkumbuka ni lazma siku hiyo nionane nae. Lakini baadae nikaja kujua kuwa hakuwa binadam.

By the way tafuta huo uzi wa @Pasco.

Shukran.
Hii inaitwa TELEPATH mzee ni Mind to mind communication also can be mind to event communication few people have this ability but also can be taught especially for psychologists and spies but kwa wale with natural ability huwa wakijihisi tu changes in their body something might happen like if ghafla he feel uncomfortable lazima ataskia taarifa mbaya au. Atakumbwa na kitu kibaya
 
Fungua uzi af nitag mkuu inaonekan una fascinating life story I wanna hear more of it..

Kweli kabisa afungue uzi kabisa atupe kidogokidogo mpaka mwisho.

Basi ni sawa wakuu ntalifanyia kazi hili wazo wandugu.

Ila kiukweli hawa viumbe tunapishana nao sana mitaani na haya mambo yapo wakuu.

Tuko pamoja wandugu.

Thanks.
 
Hii inaitwa TELEPATH mzee ni Mind to mind communication also can be mind to event communication few people have this ability but also can be taught especially for psychologists and spies but kwa wale with natural ability huwa wakijihisi tu changes in their body something might happen like if ghafla he feel uncomfortable lazima ataskia taarifa mbaya au. Atakumbwa na kitu kibaya
Ni kweli na haya mambo Pasco ameongelea kwa upana zaidi that's why nikamwambia atafute huo uzi asome ataelewa zaidi.

Thanks.


Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo?

Pia mshana jr atatusaidia pia coz inahusiana sana hii kitu na meditation.
 
De Ja Vu ipo kiroho zaidi

Ni uwezo wa ajabu na uthihirisho wa Muumbaji kwa viumbe wake.

De ja Vu inamtokea hata mnyama, ila ni common zaidi kwa watoto wadogo
 
Back
Top Bottom