Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,016
- 2,592
Habari wanajukwaa wakubwa shikamo wadogo zangu marahaba.
Naenda straight to the topic. Niko na ndugu yangu tunabishana eti, ATM ndio Kuna charges ndogo kwa NMB Ni 950, na kwa bank teller kwa uzoefu wangu nilioulizia watu kwa bank ya nmb Ni 6500 Tsh. Naomba nyie mchango wenu kumaliza ubishi.
Akhsante
Naenda straight to the topic. Niko na ndugu yangu tunabishana eti, ATM ndio Kuna charges ndogo kwa NMB Ni 950, na kwa bank teller kwa uzoefu wangu nilioulizia watu kwa bank ya nmb Ni 6500 Tsh. Naomba nyie mchango wenu kumaliza ubishi.
Akhsante