frank ngowi
Member
- Aug 4, 2018
- 6
- 4
habari za muda wana jf,
naomba kwa wataalamu au wanaofahamu au ambao wameshafanyaga application kwa mfano NTA LEVEL 4 nlipata GPA 3.0 LEVEL 5 GPA 3.0 na LEVEL 6 GPA 3.6 je udaili wa kusoma degree kwa vyuo vya afya wanaangaliza wastani wa gpa za level zote au ni hiyo ya mwisho tuu?
naomba kwa wataalamu au wanaofahamu au ambao wameshafanyaga application kwa mfano NTA LEVEL 4 nlipata GPA 3.0 LEVEL 5 GPA 3.0 na LEVEL 6 GPA 3.6 je udaili wa kusoma degree kwa vyuo vya afya wanaangaliza wastani wa gpa za level zote au ni hiyo ya mwisho tuu?