Elections 2010 Naomba kujua kiwango cha elimu ya katibu wangu Mh. makamba

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
212
Mkuu ni muda mrefu nimekuwa nikitatiswa sana na matamshi ya huyu katibu wangu, amekuwa na matamshi ya ..kuropoka ropoka tu. Juzi kwa walioangalia taarifa ya habari Channel 10 .nilimuona na kumsikia katibu wangu akiwaita watu waliohama chama na kuenda upinzani eti ni sawa na MWANAMKE ALIYEBADILI DINI KWA AJIRI YA MWANAUME. binafsi sikupendezwa na mfano wake. nikajiuliza ni vipi wanaume wanaobadiri dini kwa ajiri ya wanawake. nimetumia neno kuropoka sababu si mara moja kumsikia akiongea vitu vya kukanganya. sasa nikawaza isije kuwa namlaumu bure kumbe...............
 
Si vibaya kujitambulisha mkuu, haya karibu au mwenzetu mwenyeji umeamua kuingia kwa namna nyingine?
Cheki niloyakuta kwenye web ya Bunge

Salutation Honourable Member picture

First Name: Col.Lt. Yusufu
Middle Name: -
Last Name: Makamba
Member Type: Nominated by the President
Constituent: Kuteuliwa
Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI
Office Location: Dar es salaam
Office Phone: -
Ext.:
Office Fax: -
Office E-mail: ymakamba@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Start Date: 28 December 2005
End Date: 27 December 2010
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
No items on list
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
No items on list
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
No items on list
PUBLICATIONS
Description Published Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition Date Reason Action Taken Issued by
No items on list

Yaani kuhusu elimu hawa jamaa hawajaweka. Nadhani ni la nane la zamani
 
Kuropoka ni kawaida yake, huyu jamaa hakumaliza elimu ya msingi!
 
Ni mwalimu wa shule ya msingi aliyefukuzwa baada ya kuwa "FATAKI"
 
Inasemekana mheshimiwa alikuwa mwalimu wa primary, sasa sijajua hiyo ndo highest level yake ya education au vp?


"ila tunamwomba aache kuropoka siyo ishu kabisa"
 
Aliishia darasa la tatu na akajiunga ni vikundi vya kutumbuiza baada ya kuona shule haipandi kabisa. Kipindi cha TANU, Nyerere akaona ni bora jamaa apewe kazi ya kufundisha utamaduni mashuleni hivyo akaajiriwa kama mwalimu wa UPE. Alipompachika mimba mwanafunzi akatimuliwa na jamaa wa jeshi wakamchukua kwa jinsi alivyokuwa hodari wa kucheza ngoma wakaona wamwajiri ili awe kwenye kikundi cha ngoma cha jeshi. Huyo ndo msela Yusufu Makamba katibu mkuu wa CCM.

Ukiona anaropoka ujue ngoma za utamaduni zilimwathiri na he is beyond repair unless Mungu aingilie kati
 
Back
Top Bottom