daydreamerTZ
Senior Member
- Sep 26, 2020
- 114
- 188
Wakuu mimi ni kijana ambaye kwa sasa nataka kuingia mtaani na kuanza kujiajiri na nimefikiria kuhusu biashara ya viatu vya mtumba na mzigo nimepanga niwe nachukulia MBEYA naombeni kujua kwa wote wenye idea na uzoefu wa biashara hii uzur wake ubaya wake mtaji wake na wateja wake wanapatikanaje kama ni wa msimu au la ASANTENI