knock knock
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 326
- 384
Wadau wa forum hii heshima kwenu.
Naomba kujua kama Usajili wa vyuo umeanza rasmi kwa mwaka huu 2018/19 kwa NACTE ama labda kama kuna linki ya za vyuo mbali mbali ambavyo vimeanza tofauti na NACTE.
Zaidi kwa course mbali mbali za Diploma kwa wale wanafunzi waliomaliza O Level lakini wakawa na sifa za kuomba Diploma.
Shukrani.
Naomba kujua kama Usajili wa vyuo umeanza rasmi kwa mwaka huu 2018/19 kwa NACTE ama labda kama kuna linki ya za vyuo mbali mbali ambavyo vimeanza tofauti na NACTE.
Zaidi kwa course mbali mbali za Diploma kwa wale wanafunzi waliomaliza O Level lakini wakawa na sifa za kuomba Diploma.
Shukrani.