Lakikunene
Member
- Jul 18, 2017
- 98
- 92
Habarini za muda ndugu zangu,
Naomba kujua kama hili ni tatizo au ni hali ya kawaida..,Ni hivi uume wangu huwa unasinyaa Sana nakuonekana mdogo pale nikiwa katika hali ya kawaida (normal condition) yaani nisipo kuwa na mwanamke au nikiwa tu mwenyewe bila hisia zozote, ila nikiwa na mwanamke inasimama vizuri tu nahuwezi kudhani kama ni ile iliyokuwa imesinyaa vile na inasimama makini bila shida na kwa size nzuri kabisa
Sasa tatizo ndugu zangu sometimes yani napokuwa hata nakojoa naona aibu kuitoa mbele za watu maana wengine wanaweza kudhani nina kibamia kumbe ni Tango
NB: Masturbation niliwahi kufanya lakini nakuacha kipindi nikiwa secondary Boys miaka kadhaa iliyopita.
Je, nifanye nini ndugu zangu hata ionekane/pia kutokusinyaa maana sometimes inaweza kuwa nikama fedheha kwa mpenzi wangu kama akinichunguza mybe wakati nimelala
MSAADA WENU TAFADHALI WAJUZI
Naomba kujua kama hili ni tatizo au ni hali ya kawaida..,Ni hivi uume wangu huwa unasinyaa Sana nakuonekana mdogo pale nikiwa katika hali ya kawaida (normal condition) yaani nisipo kuwa na mwanamke au nikiwa tu mwenyewe bila hisia zozote, ila nikiwa na mwanamke inasimama vizuri tu nahuwezi kudhani kama ni ile iliyokuwa imesinyaa vile na inasimama makini bila shida na kwa size nzuri kabisa
Sasa tatizo ndugu zangu sometimes yani napokuwa hata nakojoa naona aibu kuitoa mbele za watu maana wengine wanaweza kudhani nina kibamia kumbe ni Tango
NB: Masturbation niliwahi kufanya lakini nakuacha kipindi nikiwa secondary Boys miaka kadhaa iliyopita.
Je, nifanye nini ndugu zangu hata ionekane/pia kutokusinyaa maana sometimes inaweza kuwa nikama fedheha kwa mpenzi wangu kama akinichunguza mybe wakati nimelala
MSAADA WENU TAFADHALI WAJUZI