Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 454
- 584
Habari za leo wakuu, kijana wenu naomba kujua naweza kutumia usafiri gani kusafirisha pikipiki kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma pamoja na bei zake.
Kama kuna kampuni utairecommend pia nitashukuru sana. Pia, naomba kujua kama kuna changamoto zozote huko barabarani, pamoja na option ipi ni nzuri kwa ajili ya kusafirisha.
Natanguliza shukrani wakuu.
Kama kuna kampuni utairecommend pia nitashukuru sana. Pia, naomba kujua kama kuna changamoto zozote huko barabarani, pamoja na option ipi ni nzuri kwa ajili ya kusafirisha.
Natanguliza shukrani wakuu.