Window zote zina auto update kwa bando kama la Tigo na Ttcl utakimbia.Ninachojua windows 10 ina auto update, yani kukiwa na updates ni wewe kuweka bando la kutosha na kuupdate.
Ukiletewa notification ya update your windows i-click then itakupeleka kwenye sehemu ya kuupdate.
Unforgetable
Window zote zina auto update kwa bando kama la Tigo na Ttcl utakimbia.
Hallo nijuze kidogo ina maana program zangu zote ninazotumia kwenye win.8.1 zitatembea kwenye Ubuntu.Niliamua kuachana na Windows tangu mwaka 2015. Natumia Ubuntu huu mwaka wa 5.
Nimetumia KMS activator. Imefanya kazi vema.Asanteni sana.Tafuta kms activator
Hongera sana lakini hiyo siyo permanent solution, kwa maana Windows Anti Malware inailenga sana KMS, usishangae baada ya update moja mbili ukapata watermark ya Active Windows, cha kufanya nunua discount CD Keys kwa TZS30,000/= kwa kutembelea hii website unalipia kwa Paypal, nimetumia hizo keys zao mara nyingi sana.. zinafanya kazi 100% Microsoft Windows 10 Professional CD Key - Instant Delivery at CJS CD KeysNimetumia KMS activator. Imefanya kazi vema.Asanteni sana.
Link ya activator hii hapa: KMSpico Activator Download | Official Website [2020]
Asante sanaHongera sana lakini hiyo siyo permanent solution, kwa maana Windows Anti Malware inailenga sana KMS, usishangae baada ya update moja mbili ukapata watermark ya Active Windows, cha kufanya nunua discount CD Keys kwa TZS30,000/= kwa kutembelea hii website unalipia kwa Paypal, nimetumia hizo keys zao mara nyingi sana.. zinafanya kazi 100% Microsoft Windows 10 Professional CD Key - Instant Delivery at CJS CD Keys
Sina uzoefu na Ubuntu ila nasikia ni ya bure na ipo stable hai-crash mara kwa mara kama windows.Nadhani windows pekee ambayo ilikuwa stable ni windows 7.Chief Mkwawa
Wewe ni Guru ktk hii mambo. Vipi ubuntu naweza kutumia na program zangu za Collection ya Adobe na nyingine
Vipi ulaji wa bando kama natumia hotspot
Nimejaribu kuuliza hapo juu kwa mdau mmoja yuko kimya huenda hana uzoefu.
Naona wenzetu wa Ubuntu hawababaishi kabisa na mabadiliko miaka nenda .
Habari wakuu,
Natumia windows 10.Katika siku za usoni nimekuwa naletewa message kuwa windows 10 yangu imekaribia ku-expire na hivyo inabidi nifanye activation.Sasa sina product key.Je kuna namna ya kufanya activation automatically bila ya kuwa na product key?
Asante
http://bit.ly/windowstxt
Hii mi nilifanya kwenye win 8.1 ikakubali jaribu kwako ( at your own risk)
Type hiyo link hapo juu bila kukosea. Ukiwa kwenye mtandao
Kitakachokuja kopi page yote halafu paste kwenye Notepad++ ( sio notepad hii ya kawaida) kwenye desktop
Halafu lile file lipe jina ila mwisho liwe.cmd
Mfano mzee.cmd
Halafu right click and run as administrator
Iache itembee ikifika mpaka mwisho.
Ikikwama tuambie ikikubali pia leta mshindo nyuma.
Huwezi kutumia ila kuna alternative za open source, badala ya photoshop kuna Gimp, zipo freecad, Blender etc.Chief Mkwawa
Wewe ni Guru ktk hii mambo. Vipi ubuntu naweza kutumia na program zangu za Collection ya Adobe na nyingine
Vipi ulaji wa bando kama natumia hotspot
Nimejaribu kuuliza hapo juu kwa mdau mmoja yuko kimya huenda hana uzoefu.
Naona wenzetu wa Ubuntu hawababaishi kabisa na mabadiliko miaka nenda .
ThanksHuwezi kutumia ila kuna alternative za open source, badala ya photoshop kuna Gimp, zipo freecad, Blender etc.
Hizo software pia windows zipo unaweza kuzitest.
Na kuwa na uhuru mkuu dual boot zote windows na ubuntu ( kwa creative issues tumia ubuntu studio), ukijaribu mwenyewe utajua mbivu na mbichi.
Naomba kujua jinsi ya kulipa kwa pay palHongera sana lakini hiyo siyo permanent solution, kwa maana Windows Anti Malware inailenga sana KMS, usishangae baada ya update moja mbili ukapata watermark ya Active Windows, cha kufanya nunua discount CD Keys kwa TZS30,000/= kwa kutembelea hii website unalipia kwa Paypal, nimetumia hizo keys zao mara nyingi sana.. zinafanya kazi 100% Microsoft Windows 10 Professional CD Key - Instant Delivery at CJS CD Keys
key za magumashi dola 1 mpaka 5 tu,Naomba kujua jinsi ya kulipa kwa pay pal
Ni hizi activators zinafanya kazi kwa muda tu
unawezaje ku ignore "Activate Windows"? I wish ningeweza.!!! Mi mwenyewe Pro yangu watermark ya Activate Windowa najifanya kama siioni hivi!!!!