Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Habari,
Mtoto wangu ana hivi viupele(kwenye picha) kama miezi 7 sasa, viko mkononi, miguuni na mzunguko wa macho kidogo, nilimpelekea Hospital ya regency nikijua Dk atanipania ni allergy hani maajabu kasema ni vipele tu eti kanipa beprosalic ream ya kumpaka basi sijaridhika kabisa manake nimesoma ile cream haitakiwi kupakwa machoni sasa itamsadiaje.
Nadhani wengi hapa walisha iona au kukumbana nayo mnaweza nishauri vyema.
Asanteni.
Mtoto wangu ana hivi viupele(kwenye picha) kama miezi 7 sasa, viko mkononi, miguuni na mzunguko wa macho kidogo, nilimpelekea Hospital ya regency nikijua Dk atanipania ni allergy hani maajabu kasema ni vipele tu eti kanipa beprosalic ream ya kumpaka basi sijaridhika kabisa manake nimesoma ile cream haitakiwi kupakwa machoni sasa itamsadiaje.
Nadhani wengi hapa walisha iona au kukumbana nayo mnaweza nishauri vyema.
Asanteni.