Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Hali ikoje kwenye mabasi yaendayo mikoani?
Naomba makonda awe makini sana yawezekana kati ya majina yanayotumwa kwake asiambulie kumkamata hata mmoja .
Mwisho wa siku zoezi litakwama tu, biashara ya gizani ni ngumu kuithibitisha kwa macho , labda wawepo madaktari wa kufanya kazi hiyo.
Naomba makonda awe makini sana yawezekana kati ya majina yanayotumwa kwake asiambulie kumkamata hata mmoja .
Mwisho wa siku zoezi litakwama tu, biashara ya gizani ni ngumu kuithibitisha kwa macho , labda wawepo madaktari wa kufanya kazi hiyo.