Naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa

Niko serious mkuu fundi kanipigia hesabu hiyo, so sikuwa na uhakika sana ndo maana nimeleta suala hili hapa
 
Kiongozi ulichosema ni sahihi kabisa. Nimemaliza nyumba ya vyumba 3 kimoja master jiko na stoo kwa 20mil. nimekomaa mwenyewe na fundi wa kawaida na tofari nilikodi machine nikafyatua mwenyewe.
Unamanisha ineisha boma tu au na kupaua?
 
Kiongozi ulichosema ni sahihi kabisa. Nimemaliza nyumba ya vyumba 3 kimoja master jiko na stoo kwa 20mil. nimekomaa mwenyewe na fundi wa kawaida na tofari nilikodi machine nikafyatua mwenyewe.
Unamanisha ineisha boma tu au na kupaua?
 
Mara kadhaa,ukisikiliza comments za watu humu,unaweza kimbia.
Kama miez mitatu au NNE nyuma nilileta bandiko nikiomba ushauri.

Nilikua na 22M hivi niliulizia kama naweza jenga 6rooms.
Osh! Majibu na comments zilitaka kunirudisha nyuma.
Lakin nikaanza hivyohivyo.Nilitafuta local fundi ni mzuri,tukaanza ujenzi.
Mpaka sasa room6,zimeisha,nimepiga draft kwaajili ya Gpsum,plasta ndani,raf floo,milango ya ndani,grill za madirisha 10, karo na choo cha nje ,wire ring, kulipia umeme vyote tayari,
Mpaka hapo nimetumia abt 24M.
Ndugu nashauri usiogope,we anza,lkn hakikisha unatafta local fundi n wazuri,na garama zao ziko chini sana.
Sasa hivi Kazi hakuna so ukiwahitaji,weka fungu mezani,wambie anaeweza afanye kazi.
Cha muhimu,usimamie mwenyewe.
Usimuachie MTU akanunue material wala kusimamia,hapo utaibiwa.
Umejenga nyumba au banda mkuu? Banda ni aina ta jengo linalokua na vyumba vinavyoangaliana na korido ndefu inayotenganisha hilo jengo husika..je umejenga nyumba au banda mkuu?
 
Mara kadhaa,ukisikiliza comments za watu humu,unaweza kimbia.
Kama miez mitatu au NNE nyuma nilileta bandiko nikiomba ushauri.

Nilikua na 22M hivi niliulizia kama naweza jenga 6rooms.
Osh! Majibu na comments zilitaka kunirudisha nyuma.
Lakin nikaanza hivyohivyo.Nilitafuta local fundi ni mzuri,tukaanza ujenzi.
Mpaka sasa room6,zimeisha,nimepiga draft kwaajili ya Gpsum,plasta ndani,raf floo,milango ya ndani,grill za madirisha 10, karo na choo cha nje ,wire ring, kulipia umeme vyote tayari,
Mpaka hapo nimetumia abt 24M.
Ndugu nashauri usiogope,we anza,lkn hakikisha unatafta local fundi n wazuri,na garama zao ziko chini sana.
Sasa hivi Kazi hakuna so ukiwahitaji,weka fungu mezani,wambie anaeweza afanye kazi.
Cha muhimu,usimamie mwenyewe.
Usimuachie MTU akanunue material wala kusimamia,hapo utaibiwa.
Umejenga nyumba au banda mkuu? Banda ni aina ta jengo linalokua na vyumba vinavyoangaliana na korido ndefu inayotenganisha vyumba husika..je umejenga nyumba au banda mkuu?
 
UNAONA HUYU MDAU CHINI, AMEKUBALIANA NA NILICHOMWAMBIA HUYO JAMAA NA KALETA USHAHIDI.

Unachosema ni sahihi. Mm nimefikia hapo kwa sh 19,450,000.
1 - ni usimamiaji wakati wa ujenzi, hapa komaa mwenyewe mara zote. Usipokuwa makini utamaliza boma la vyumba 3 naye fundi ana boma la vyuma 2,
2 - gharama za materials unaponunua navyo kama nondo, cement, kokoto, maji n.k,
3 - gharama za ufundi nazo hazipo constant na kusababisha kusiwe na uhalisia wa gharama za majenzi.
Kumbuka kwenye ujenzi wa wenye vipato vya kuunga unga mhimu kuwa na kiwanja na ramani ya nini unataka nyumba iwe, then ingia vitani. Issue ni kuwa unataka kujenga kwa mda mfupi au no limited time.

img_20180123_115637-jpg.862691
Umejitahidi ila paa hukupata fundi mzuri na ramani yako ni ya kizamani mno.
 
Mkuu kupata hizo hesabu ni rahisi sana,ila kwa vile wewe ni kaka yangu nitakupa ushauri ufuatao,kwani kwa mpangilio wako wa bajeti kwa kutegemea taarifa finyu kama hizo,utapata ongezeko kubwa la thamani ya mradi.
1.lazima uwe na picha kamili ya unachokitaka hata kabla ya kuanza ujenzi i.e ramani yenye site plan,floor plan,views za sections,roofing,elevations,rear na front,3d views
2.ujue aina ya materials utazotumia i.e cement,mawe,aina za tofali,aina za vigae,aina za rangi,aina ya ceiling board,aina ya roofing sheet,aina za openings
3.chagua unataka mafundi wa ubora upi katika kila hatua ya ujenzi
4.muda gani utatumia kukamilisha ujenzi
Nimeunga mkono mkuuu 100%
 
Kiongozi ulichosema ni sahihi kabisa. Nimemaliza nyumba ya vyumba 3 kimoja master jiko na stoo kwa 20mil. nimekomaa mwenyewe na fundi wa kawaida na tofari nilikodi machine nikafyatua mwenyewe.
Umetumia akili kubwaaz mkuu mi naona ukiwa na muda unaweza hiyo nyumba yako umepiga hadi rangi au umeishia kwenye plaster
 
Kujenga na kumaliza nyumba inategemea na quality ya materials na finishing yako,kwa nyumba standard atleast na wewe uonekane unaenda na wakati kwa nyumba zetu hzi za kisasa,atleast uwe na 40+,chini ya hapo utapata nyumba ya hadhi ya chini sana
na hapo uko benet na fundi sio unajenga kwa simu.
 
Kujenga kuna hitaji moyo sana, nna jenga mwaka wa nne huu na nyumba haijaisha, nishatupa zaidi ya million 50 hapo chini, niseme tu gharama za kujenga zinategema unajenga nyumba ya namna gani?

Unaweza ukawa na 15m ukajenga nyumba Na unaweza ukawa na 50m ukajenga nyumba, inategema tu unajenga nyumba ya namna gani na uko mkoa gani! Hilo tu mengine

Kujenga kusituogopeshe tujenge tu na kiasi chochote ulichonacho unaweza kujenga kabisa wala sishangai.

Lkn waweza nunua pia
 
Mkuu unambishia hadi mtu aliyetoa pesa yake mfukoni kufikia hapo..
Kwani wabongo huwajui kujifanya much know sheikh!!?kwa macho ya kawaida hapo hyo hela imetumika kununua nn?tena inaonekana iko mkoanii.tofali ya kuchoma haizid sh200.hyo hela umeenda kwenye cement,au mbao?akili ya kuambiwa changanya na yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom