Naomba kujua eneo zuri kwa biashara ya Pub Arusha

Mrs Bishanga

JF-Expert Member
Jun 30, 2013
1,002
2,272
Wakuu heshima kwenu.

Kwa wenyeji wa Mkoa wa Arusha (mjini na maeneo ya karibu) ni maeneo gani ni naweza kufungua biashara ya Pub/grocery na ikawa ya mafanikio? Eneo Liwe limechangamka, mzunguko mzuri, Kodi iwe ya kawaida (60,000 hadi 100,000), na lenye usalama kibiashara.

Asanteni sana kwa mtakaoguswa kuchangia.
 
Wakuu heshima kwenu.

Kwa wenyeji wa Mkoa wa arusha (mjini na maeneo ya karibu) ni maeneo gani ni naweza kufungua biashara ya pub/grocery na ikawa ya mafanikio? Eneo Liwe limechangamka, mzunguko mzuri, Kodi iwe ya kawaida (60,000 hadi 100,000), na lenye usalama kibiashara.

Asanteni sana kwa mtakaoguswa kuchangia.
Hapa itategemea pub ya hadhi gani,
Ukishajua hilo ni rahisi kupick eneo
 
Kajenge Mkonooo kule karibu na East Africa road(bypass), kule watu hawajapata pa kupumzikia mida yetu ya jioni, tena ukitega na kasikilini ka mpira umemaliza mkuu
 
Kajenge Mkonooo kule karibu na East Africa road(bypass), kule watu hawajapata pa kupumzikia mida yetu ya jioni, tena ukitega na kasikilini ka mpira umemaliza mkuu

Mkuu funguka zaidi....kajenge au kijenge?
 
Wakuu heshima kwenu.

Kwa wenyeji wa Mkoa wa Arusha (mjini na maeneo ya karibu) ni maeneo gani ni naweza kufungua biashara ya Pub/grocery na ikawa ya mafanikio? Eneo Liwe limechangamka, mzunguko mzuri, Kodi iwe ya kawaida (60,000 hadi 100,000), na lenye usalama kibiashara.

Asanteni sana kwa mtakaoguswa kuchangia.

Hii pub umefungulia wapi tukija chuga tukutafute
 
Back
Top Bottom