Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,272
Wakuu heshima kwenu.
Kwa wenyeji wa Mkoa wa Arusha (mjini na maeneo ya karibu) ni maeneo gani ni naweza kufungua biashara ya Pub/grocery na ikawa ya mafanikio? Eneo Liwe limechangamka, mzunguko mzuri, Kodi iwe ya kawaida (60,000 hadi 100,000), na lenye usalama kibiashara.
Asanteni sana kwa mtakaoguswa kuchangia.
Kwa wenyeji wa Mkoa wa Arusha (mjini na maeneo ya karibu) ni maeneo gani ni naweza kufungua biashara ya Pub/grocery na ikawa ya mafanikio? Eneo Liwe limechangamka, mzunguko mzuri, Kodi iwe ya kawaida (60,000 hadi 100,000), na lenye usalama kibiashara.
Asanteni sana kwa mtakaoguswa kuchangia.