Igangilonga
Senior Member
- Mar 11, 2006
- 133
- 27
Habari zenu wana jamvi.
Naomba kujua dawa ya kipele fulani kigumu ambacho hakiumi ila nilikikwangua kinatoa damu mara kwa mara ingawa hakiumi kabisa.
Kipo kwenye kidole gumba cha mkono kushoto.
Naomba kujua dawa ya kipele fulani kigumu ambacho hakiumi ila nilikikwangua kinatoa damu mara kwa mara ingawa hakiumi kabisa.
Kipo kwenye kidole gumba cha mkono kushoto.