Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Kwa kweli nimekuwa nasoma kwenye mitandao mbalimbali ya habari za huko Tanzania kuhusu namna anavyoliendesha Bunge la Muungano la Tanzania na napata utata sana na maamuzi yake hususan kile kipengele cha mbunge au hata kiongozi wa Serikali akiongea Bungeni Uongo.
Wa Bodi labda niweze kujiridhisha na uteuzi wake Naomba mtu yoyote mwenye CV yake ikiwa pamoja na maisha yake binafsi basi atujuze ili tuweze kumfahamu vizuri.
naomba kuwakilisha.
Wa Bodi labda niweze kujiridhisha na uteuzi wake Naomba mtu yoyote mwenye CV yake ikiwa pamoja na maisha yake binafsi basi atujuze ili tuweze kumfahamu vizuri.
naomba kuwakilisha.