Naomba kujua bei za magarì ya IT Dar-Mbeya

Jimmy George

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
1,733
1,645
Habari wanabodi !
Kama heading inavyosema kwa wazoefu naomba kujua jamaa wale wa magari ya IT huwa ni bei gani kutoka Dar mpaka Mbeya na huwa wanapatikana wapi kwa Dar.
 
Back
Top Bottom