Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,645
Habari wanabodi !
Kama heading inavyosema kwa wazoefu naomba kujua jamaa wale wa magari ya IT huwa ni bei gani kutoka Dar mpaka Mbeya na huwa wanapatikana wapi kwa Dar.
Kama heading inavyosema kwa wazoefu naomba kujua jamaa wale wa magari ya IT huwa ni bei gani kutoka Dar mpaka Mbeya na huwa wanapatikana wapi kwa Dar.