T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,144
- 28,264
Mimi nataka kujua alipo UFOO SARO sijui kama nimepatia kuandika jina lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rebecca si ndo yule anatangaza kipindi cha ushauri wako siku za jumapili au?Mm Nataka kujua alipo Rebecca mwilesi wa RFA na Agnes Robinson(mototo wa mama sabuni) nae pia alikuwa pale RFA.
Atakuwa yupo BBC swahili au DW. Kuna uwezekano pia wakuwepo CCN Swahili.Hallo wana jf, yule mdada Nilimmandi kidizain alivokuwa star TV.
Sahiv yupo wap,? Kaacha utangazaji? Family anayo?
Rebecca si ndo yule anatangaza kipindi cha ushauri wako siku za jumapili au?
Fatuma Shemweta au Fatuma Karume?Mimi nataka kujua alipo Fatuma Shemweta wa Star TV
paschal mayala
Ndiyoo na amejitahidi kukaa..Ndio.. Huyu nafikiri bado yupo pale..
Fatuma Shemweta au Fatuma Karume?
Makosa ya uandishi au ni majina tofauti?
Yuko wap Ndimwake Mwakalyeye alikua anatangaza kipindi cha Africa 54 cha VOA pamoja na Vicent Makori....yuko wap???
Jamaa haonekani kabisaMimi nauliza Seki wa EATV yuko wapi? Aliondoka na jamaa wa ze comedy kwenda TBC ila sijui siku hizi yupo wapi.
Ndio bado yupo?Rebecca si ndo yule anatangaza kipindi cha ushauri wako siku za jumapili au?
Bado yupo Sahara Media.Huyu Fatma shemweta ni binti mmoja mrembo alikuwaga star tv au nimechanganya?
Yupo ndiyoNdio bado yupo?
Long time..Jacob Msungu ye alikua na kipindi cha Roving Dj,siku hizi ana kibanda/duka lake la kuuza/kutengeneza simu pale stand ya NATA-Mwanza.