Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 4,986
- 8,318
Kwaivo we ulikuwa na gari aina gani na fatma yake ilikuwa aiana gan, mlipaki pembeni au apo apo katikati ya barabara, ilo povu lilikuwa na sabuni gani, ariel, ckleesoft au omo au tufanye tossFatma shemweta niligombana nae mwanza maeneo ya Tanesco, aliomba kuingia barabarani kwa gari iliyokua mbele yangua. Mimi bila kujua Nika overtake like gari la mbele yang, ikawa chupuchupu nimgonge. Tukatoleana povu, maisha yakaendelea.