MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wakuu ni muda mrefu huyu kijana wetu hajasikika tangu utawala huu uingie madarakani, nafahamu pia hapo wakati waJK hawakuwa na uhusiano mzuri, tatizo langu ni kwamba hata kama amestaafu siasa basi angalao tungesikia anafanya biashara zake au yupo nje ya nchi n.k., tunaomba anayefahamu atujuze ili tuweke kumbukumbu vizuri
Updates
Wakuu nashukuru kuna mdau ametukumbusha Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe! - JamiiForums
Updates
Wakuu nashukuru kuna mdau ametukumbusha Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe! - JamiiForums