Mabakuli makubwa shilingi ngapi kwa rejarejaPoleni wale walikuwa wanasubiri feedback ya mzigo wa vyombo nilipoteza huu uzi na nilikuwa sijui naupata vipi
Vyombo vilifika kwa mida ule ule kwa kuwa ilikuwa nimefungia tani ya watu wengi kuna watu walichelewa kulipia usafiri
Vyombo vimetoka na sasa vipo store kwetu mikocheni
View attachment 1971036
View attachment 1971037
View attachment 1971038
View attachment 1971039
View attachment 1971040
View attachment 1971041
Jumla Bei gan na kuanzia vingap,,au Kama una page ya biashara tupatie tuifollow mkuuPoleni wale walikuwa wanasubiri feedback ya mzigo wa vyombo nilipoteza huu uzi na nilikuwa sijui naupata vipi
Vyombo vilifika kwa mida ule ule kwa kuwa ilikuwa nimefungia tani ya watu wengi kuna watu walichelewa kulipia usafiri
Vyombo vimetoka na sasa vipo store kwetu mikocheni
View attachment 1971036
View attachment 1971037
View attachment 1971038
View attachment 1971039
View attachment 1971040
View attachment 1971041
Juml
Jumla Bei gan na kuanzia vingap,,au Kama una page ya biashara tupatie tuifollow mkuu
View attachment 1973702
View attachment 1973703
Huyo ni moja kati ya wateja wangu walioagiza Tani 1 peke yao na hapo ndio anafungua mzigo.
View attachment 1973704
View attachment 1973705
View attachment 1973706
Kwa Tan 1 kama hii ilivyo Bei gani? Kiongozi
Baby, nitafute kesho jioni tukanywe whisky AmuzzNao
Naomba tuone picha ya hivo vikubwa nijiandae naeza agiza maana Nipo mkoa
Haya ntakupigia wangu 😘Baby, nitafute kesho jioni tukanywe whisky Amuzz
😘Fanya hivi.by saa Kumi na mbili ntakua nimeanzaHaya ntakupigia wangu 😘
Hivi ni bei gani..??View attachment 1972103
View attachment 1972104
Hizi pia tunafungia watu wakihitaji
Ni serving dishes za katika masherehe
Naweka picha photoshooted pia ili muweze kuelewa
View attachment 1972105
View attachment 1972106
Niimejaribu kukujoin whatsap, naambiwa upo full kiongozi. Nahitaji sana mwongozo wako wa hii biasharasana
Niimejaribu kukujoin whatsap, naambiwa upo full kiongozi. Nahitaji sana mwongozo wako wa hii biashara
Box 2 unaweza pata vyombo 80-100
Nina store mikocheni yaani ukiwa makumbusho unaweza kwenda kwa miguu tu.
Vyombo vikifika nitawaambia hapa kwa anayetaka atakuja either kununua au kuona
Ni mwezi wa 8 ndio vinafik
Mkuu Ninaomba unitumie namba yako ya simu, ili tufanye biasharaMimi nafanya naagizisha direct China vya kupima kwa Tani ni mchanganyiko, niko navyo vipo njiani vinafika mwezi wa 8 naweza kukuuzia robo tani ukihitaji