Luvh
Member
- May 8, 2021
- 54
- 84
Hii biashara nilifanya na naipenda Sana na inafaida Sana,chimbo kuu ni Zanzibar my dia,Kuna mtaa unaitwa kwa haji tumbo hapo ndo mwsho wa matatizo yote ya vyombo Bei rahis Sana na vizur Sana ,Kama unaweza nenda kwanza ukajionee ,Zenj ndo kila kitu kwa hii biashara na inafaida Sana na ili uwe na mzunguko mzur usiuze kwa Bei kubwa ili uuze haraka ulete Mali mpya kila siku..all the bestSalaam wakuu!
Jamani nahitaji kujulishwa kuhusu biashara ya vyombo vya majumbani hasa ceramic au kwa kiswahili vyombo vya kauli/kuvunjika!
Nahitaji kufanya biashara hii ila sijui hata pa kuanzia, niko Dar.
Kwa anaefahamu wapi naweza kununua kwa jumla anielekeze please! Nilishakwenda kariakoo kufanya utafiti ila nimetoka kapa!
Naombeni mwongozo wenu.