kupigakazi
Member
- Sep 17, 2014
- 53
- 10
Vyombo vya nyumban
Mtaji wake ni kias gan makadirio ya chiniKikubwa tafuta location nzuri pia uza bidhaa original vitu vya plastic wacheki cello ingawa bei juu hutajuta kama vp ni pm
Good ideaNa wateja wakubwa wa vifaa vya jikoni mtumba ni middle class wa TZ,maskini wananunua vyombo made in TZ brand za CELLO na plastic products zilizotengenezwa tanzania.
sababu kubwa ni kuwa vitu vya mtumba vina ubora,vitadumu muda mrefu etc.
binafsi sifagilii vitu vya mtumba kwani vinashusha UTU kiaaina,natumia vitu used kwa lengo la kuunga mkono Recycling for the environment.
Mtoa Mada, nenda mwenge kuna maduka ya vitu used vya jikoni.watakupa muongozo.ila nahisi ulaya wanavichukua bure kwa lengo la kutoa misaada Africa
Sorry make me understand! Kila siku upate 50 as a profit au uuze si chini ya fifty?
Mku naomba Msaada ktk hili Canada ulienda kununua mwenye na kusafirisha.Nimetuma container 2 from Canada za Vyombo vya mtumba. Sikupata faida sababu ya mapungufu kadhaa. Moja ni mtaji ulikuwa mdogo hivyo container haikujaa. Mbili ni exchange rate kati ya dollar na shillingi. Tatu ni ushuru