nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Mkeo hayumo?Nafuatialia hili sakata la viti maalum CHADEMA
Nakuja kwenu naomba anaejua anisaidie majibu ya haya maswali.
1. John Mrema ana cheo gani CHADEMA?
2. Katika wale 19 nimeona jina la Anthropia ambae nimesikia kuwa ni Mkewe. Je, ni kweli?
Ukiacha hao 19 kuna wengine ambao ndo walistahili zaidi? Je, ni akina nani?
Wabunge waliopita wa Viti Maalum CHADEMA ambao hawapo sasa kwenye hao 19 ni kina nani?
Mahusiano ya hawa 19 na Viongozi wa CHADEMA yakoje?