Hahahaha inabidi waje watupe ushuhuda wa kama kwa mwamposa.Karibu sana kuna wana JF wenzetu hapa nimeshasimamia show zao wako kama watatu hivi.. Wakiamua watakuja wenyewe kusema hapa
Ushaelekezwa hapo juu...
Usiache kutoa mwaliko tuje kukifinya hicho kipunga...
Kwhy huko mke unagaiwa tu as free marketHuku hakuna sampo ujue Arusha mtindo wa barua na rare sana
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai..pisi kali ni huku mitaani akirudi home ni ukiwa na upwekeHahahaha inabidi waje watupe ushuhuda wa kama kwa mwamposa.
Maana sometime hizi pisi Kali zinatuchanganya, tunaona tuwaachie nyie mtusaidie kwenye ushenga pale
Ujue ni watata na watakuwa watata hata mbeleni.Ila muda mwingine kuna upepo mabaya unapita wazazi na mtoto wanakukataaa kabisa wazi wazi, kwamba ujumbe wa maneno hujafika
Nimeipenda barua.Hiyo ni kazi ya mshenga wala isikuumize kichwa lakini kama mshenga wako hajui model hii hapa
Anuani yako
Yah: OMBI LA POSA
Husika na somo hapo juu
Mimi mshenga....... Kwa mamlaka na idhini niliyopewa na familia ya ....... Naleta posa kwenu kwa ajili ya kijana wetu ndugu...... Ambaye ana nia ya kumchumbia binti yenu....
Naamini ombi letu litapokelewa vema...
Wen u mshenga
.........jina
.......sahihi
.......tare he
MWISHO
Barua itawekwa kwenye bahasha ndogo nyeupe na juu yake itaandikwa BARUA YA POSA.. ndani yake kutakuwa na barua husika na kiasi chochote cha pesa kulingana na uwezo
Barua husika itafungwa kwenye hanjifu nyeupe
Je unataka na utaratibu wa kukabidhi barua?
Ahaaaa nimejifunza kituUjue ni watata na watakuwa watata hata mbeleni.
Jambo la msingi ni kuwa na mshenga mwenye busara na muwasilishaji wa hoja vizuri zenye mashiko.
Na mara nyingi mshenga mzuri ni yule anayetoka kabila moja na binti na anayewafahamu vizuri hao anaoenda kumchukua mtoto wao. Lakini kama wako kabila moja basi ahakikishe mshenga anawafahamu vizuri hao watu. Mambo yatakuwa rahisi.
Sio wanakuja kwetu huku Mbeya halafu wanatoka na mshenga Dar, watapata shida na pesa itawatoka nyingi mpaka wakome.
Asije akatuma kwa posta tu 😂Hiyo ni kazi ya mshenga wala isikuumize kichwa lakini kama mshenga wako hajui model hii hapa
Anuani yako
Yah: OMBI LA POSA
Husika na somo hapo juu
Mimi mshenga....... Kwa mamlaka na idhini niliyopewa na familia ya ....... Naleta posa kwenu kwa ajili ya kijana wetu ndugu...... Ambaye ana nia ya kumchumbia binti yenu....
Naamini ombi letu litapokelewa vema...
Wenu mshenga
.........jina
.......sahihi
.......tarehe
MWISHO
Barua itawekwa kwenye bahasha ndogo nyeupe na juu yake itaandikwa BARUA YA POSA.. ndani yake kutakuwa na barua husika na kiasi chochote cha pesa kulingana na uwezo
Barua husika itafungwa kwenye hanjifu nyeupe
Je unataka na utaratibu wa kukabidhi barua?
Hapana hiyo ni mkono kwa mguuAsije akatuma kwa posta tu
Hahahahah duh kwshneyHiyo ni kazi ya mshenga wala isikuumize kichwa lakini kama mshenga wako hajui model hii hapa
Anuani yako
Yah: OMBI LA POSA
Husika na somo hapo juu
Mimi mshenga....... Kwa mamlaka na idhini niliyopewa na familia ya ....... Naleta posa kwenu kwa ajili ya kijana wetu ndugu...... Ambaye ana nia ya kumchumbia binti yenu....
Naamini ombi letu litapokelewa vema...
Wenu mshenga
.........jina
.......sahihi
.......tarehe
MWISHO
Barua itawekwa kwenye bahasha ndogo nyeupe na juu yake itaandikwa BARUA YA POSA.. ndani yake kutakuwa na barua husika na kiasi chochote cha pesa kulingana na uwezo
Barua husika itafungwa kwenye hanjifu nyeupe
Je unataka na utaratibu wa kukabidhi barua?