Subiri waje ..!!Naomba mmoja anisaidie barua ya uchumba inaandikwaje kwa watu wa ruvuma tafadhali ama yeyote anaejua
Barua huandiki wewe barua anaandika mshenga wako kwenda kwenye familia ya binti unayemposa... Au unataka barua ya kutongoza kwenda kwa binti?Naomba mmoja anisaidie barua ya uchumba inaandikwaje kwa watu wa ruvuma tafadhali ama yeyote anaejua
Kaulize mila za huyo unayetaka kumuoa zinasemaje kuhusu suala hilo. Bila shaka wapo wazee na wajuzi wa mambo watakaokusaidia. Waulize hata wazazi wako.Naomba mmoja anisaidie barua ya uchumba inaandikwaje kwa watu wa ruvuma tafadhali ama yeyote anaejua
Hiyo ni kazi ya mshenga wala isikuumize kichwa lakini kama mshenga wako hajui model hii hapaBarua kwenda ukweni ya posa
Haswaaaa hili ndiyo swali kuuSasa barua tu inakushindwa..utaweza kulea mke kweli?
Hahahaha brother mshana upo vzr, inabidi kwenye harusi yangu uwe mshenga uhakika najua sitamkosa mtoto wa kiarabu yuleHiyo ni kazi ya mshenga wala isikuumize kichwa lakini kama mshenga wako hajui model hii hapa
Anuani yako
Yah: OMBI LA POSA
Husika na somo hapo juu
Mimi mshenga....... Kwa mamlaka na idhini niliyopewa na familia ya ....... Naleta posa kwenu kwa ajili ya kijana wetu ndugu...... Ambaye ana nia ya kumchumbia binti yenu....
Naamini ombi letu litapokelewa vema...
Wen u mshenga
.........jina
.......sahihi
.......tare he
MWISHO
Barua itawekwa kwenye bahasha ndogo nyeupe na juu yake itaandikwa BARUA YA POSA.. ndani yake kutakuwa na barua husika na kiasi chochote cha pesa kulingana na uwezo
Barua husika itafungwa kwenye hanjifu nyeupe
Je unataka na utaratibu wa kukabidhi barua?
Ila muda mwingine kuna upepo mabaya unapita wazazi na mtoto wanakukataaa kabisa wazi wazi, kwamba ujumbe wa maneno hujafikaBarua ya karatasi ilikuwa zamani . Eti unaandika kujieleza utafikiri unatongoza wazazi. Barua ni kiasi cha pesa kwenye bahasha
Mpe pesa binti ikitegemea uwezo wako ila isizidi 100,000 ampelekee mama yake huku akimueleza kuwa amepata mchumba anataka kuja kujitambulisha. Mama ataenda kuongea na baba watampa muongozo binti wa kufuata ikiwemo siku ya mshenga kwenda rasmi . Mshenga akienda haendi na chochote na stori inaanzia kwenye ujumbe wa pesa uliatangulia kama walipata na mhusika wa ule ujumbe ni yeye.
Au unatuma mshenga moja kwa moja kwa mara ya kwanza na hicho kiasi cha pesa kwenye bahasha ila binti akiwa amewataarifu kuwa amepata mchumba na kuna mgeni atakuja siku yoteyote wamtarajie. Ingawa hii mara nyingi huleta wasiwasi kama mtatokea kweli. Njia ya kwanza hutoa uhakika kuwa kuna mtu wanamtarajia.
Karibu sana kuna wana JF wenzetu hapa nimeshasimamia show zao wako kama watatu hivi.. Wakiamua watakuja wenyewe kusema hapaHahahaha brother mshana upo vzr, inabidi kwenye harusi yangu uwe mshenga uhakika najua sitamkosa mtoto wa kiarabu yule
Ahaaa asantiBarua ya karatasi ilikuwa zamani . Eti unaandika kujieleza utafikiri unatongoza wazazi. Barua ni kiasi cha pesa kwenye bahasha
Mpe pesa binti ikitegemea uwezo wako ila isizidi 100,000 ampelekee mama yake huku akimueleza kuwa amepata mchumba anataka kuja kujitambulisha. Mama ataenda kuongea na baba watampa muongozo binti wa kufuata ikiwemo siku ya mshenga kwenda rasmi . Mshenga akienda haendi na chochote na stori inaanzia kwenye ujumbe wa pesa uliatangulia kama walipata na mhusika wa ule ujumbe ni yeye.
Au unatuma mshenga moja kwa moja kwa mara ya kwanza na hicho kiasi cha pesa kwenye bahasha ila binti akiwa amewataarifu kuwa amepata mchumba na kuna mgeni atakuja siku yoteyote wamtarajie. Ingawa hii mara nyingi huleta wasiwasi kama mtatokea kweli. Njia ya kwanza hutoa uhakika kuwa kuna mtu wanamtarajia.
Ndio maana hupaswi kutumia njia hiyo ya siri.. Inatakiwa siku ya kwenda kuposa iwe rasmi na sio siriIla muda mwingine kuna upepo mabaya unapita wazazi na mtoto wanakukataaa kabisa wazi wazi, kwamba ujumbe wa maneno hujafika
Hiyo ni kazi ya mshenga wala isikuumize kichwa lakini kama mshenga wako hajui model hii hapa
Anuani yako
Yah: OMBI LA POSA
Husika na somo hapo juu
Mimi mshenga....... Kwa mamlaka na idhini niliyopewa na familia ya ....... Naleta posa kwenu kwa ajili ya kijana wetu ndugu...... Ambaye ana nia ya kumchumbia binti yenu....
Naamini ombi letu litapokelewa vema...
Wen u mshenga
.........jina
.......sahihi
.......tare he
MWISHO
Barua itawekwa kwenye bahasha ndogo nyeupe na juu yake itaandikwa BARUA YA POSA.. ndani yake kutakuwa na barua husika na kiasi chochote cha pesa kulingana na uwezo
Barua husika itafungwa kwenye hanjifu nyeupe
Je unataka na utaratibu wa kukabidhi barua?
Ka ivyl napolwendaBarua ya karatasi ilikuwa zamani . Eti unaandika kujieleza utafikiri unatongoza wazazi. Barua ni kiasi cha pesa kwenye bahasha
Mpe pesa binti ikitegemea uwezo wako ila isizidi 100,000 ampelekee mama yake huku akimueleza kuwa amepata mchumba anataka kuja kujitambulisha. Mama ataenda kuongea na baba watampa muongozo binti wa kufuata ikiwemo siku ya mshenga kwenda rasmi . Mshenga akienda haendi na chochote na stori inaanzia kwenye ujumbe wa pesa uliatangulia kama walipata na mhusika wa ule ujumbe ni yeye.
Au unatuma mshenga moja kwa moja kwa mara ya kwanza na hicho kiasi cha pesa kwenye bahasha ila binti akiwa amewataarifu kuwa amepata mchumba na kuna mgeni atakuja siku yoteyote wamtarajie. Ingawa hii mara nyingi huleta wasiwasi kama mtatokea kweli. Njia ya kwanza hutoa uhakika kuwa kuna mtu wanamtarajia.