Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Kiswahili ni lugha ya kibantu
Bakari, Kiswahili sio lugha ya kibantu pekee, Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha kadhaa kama, 1- kibantu (lugha za makabila ya wabantu), 2- Kiarabu, 3- Kireno, 4- kijerumani, 5- kihindi.
Katika kiswahili, Kibantu ni takriban maneno 70%, kiarabu 25%, na 5% ni hizo lugha zingine.
Kwa maneno mengine kiswahili ni lugha chotara (hibreed language/ clone language).