Naomba kufahamu wizi wa magari unafanyikaje

Habari wakuu.

Kuna kitu hua nashindwa kukielewa hasa wizi wa magari.

Je wizi wa gari unafanyikaje kama gari imefungwa.

Je unakutamwizi ana funguo ya ziada ama nini kinafanyika.

Je kwa gari ambazo ni keyless za push to start pia zinaibiwaje maana nyingine kama hujaingia na ufunguo haiondoki.

Naomba kufahamishwa wizi unafanyikaje.

Ahsante.
Mimi niliibiwa gari mwezi 12 mwaka 2020,
Ndani ya geti walivunja kioo cha gari na kutoa lock.naamka asubuh nakuta vipande vya kioo tuu chuma haipo na ilikua bado mpwa
 
Mimi niliibiwa gari mwezi 12 mwaka 2020,
Ndani ya geti walivunja kioo cha gari na kutoa lock.naamka asubuh nakuta vipande vya kioo tuu chuma haipo na ilikua bado mpwa
Wezi wanaakil nying sana,yaan wamevunja gari na wakavunja na geti afu hakuna aliesikia,tuwe tunafuga mbwa kumbe znaweza saidia japo kdogo
 
Mbwa anaweza akasaidia kidogo sana kwa mwizi ambae hakujiandaa kukutana n mbwa, mbwa anamalizwa kimya kimya bila kelele mwizi hapo hana kipingamizi, fungeni PIR motion sensor makwenu, zungusheni nyumba nzima movement au motion yeyote inawasha alarm yenye sauti kali hata huyo mwizi nae atashtuka maana sensor waweza zificha zisionekane, teknolijia ndio mbadala wa hao mbwa
Wezi wanaakil nying sana,yaan wamevunja gari na wakavunja na geti afu hakuna aliesikia,tuwe tunafuga mbwa kumbe znaweza saidia japo kdogo
 
Kuna dada mmoja alikua anadrive harrier..bas akawa anampelekea kaka mmoja aioshe...anamwachia anarudi zake kazini...huyu dogo alikua form 6 leaver hana mishe....
Anahvyodai walitokea wakaka wakamwambia huu ndo utajiri wako... wakamfundisha ulaghai...naskia kichonga key ni dk 1...so wakachonga key wakamchorea ramani fresh...mwaka.jana dada wa watu kaibiwa gari akiwa kazini...
Naskia ni risk mno kumwachia gari na keys muosha magari..wanachonga keys unakuja ibiwa siku isiyo na jina....dogo yuko ndani mpka leo
Sio hadi kuchonga tu finguo kama ya gari yako! Wana finguo kibao
 
1. Alarm system...kuna kifaa chenye nguvu kubwa zaidi ya alarm uliyofunga hicho kikisetiwa alarm yako inakuwa boko watu wanafanya yao
2. Kwenye carwash na garage za uchochoroni, ukiacha funguo vijana wasio waaminifu wanaikandamiza kwenye kipande cha sabuni au wanaichora kwenye karatasi wanawapa wezi wakachonge nyingine, kifuatacho hapo ni kilio
3.Keyless/push start wanakuwa na kijimtambo kidogo cha kuhack hiyo system na kui command watakavyo, baada ya hapo wanaamua tu sasa wafanye nini kwenye hiyo gari
4. Japo kwa uchache sana, unavamiwa na kuporwa gari live
Umakini kaka
 
Sasa hivi kuna wizi mpya wana chukua spare parts za maana na ktk gari ya maana, Wana ingia ndani ya uzio wa nyumba yako uliko paki gari. Wana fungua kila kitu na kuacha skeleton car alafu wana sepa. Nitakuja tena kuwajuza jinsi wanavyo fungua mlango na bila alarm kulia.
 
Halafu anaitumia wapi hiyo gari?
Wanaweza wasiitumie, bali wakaibucha (wakaitawanya) then mlango unauzwa Tegeta, Engine shaurimoyo kwenye used spares, Rimu Temeke kwa waziba pancha, vikorokoro vingine vitatawanywa kwa mujibu wa vinauzika maeneo gani
 
Ili uepuke wizi was gari Fanya haya
1.gari yako usiwe unampa mtu unaweza mpa akachonga funguo na anakujua inakuwa rahisi kuibiwa
2.kama hakuna ulazima was kuosha gari nunua sabuni OSHA ww mwenyewe kama imeshindikana basi peleka uoshe lakini uwepo
 
Sio hadi kuchonga tu finguo kama ya gari yako! Wana finguo kibao
Mafundi umeme wa magari wanaweza washa gari bila funguo wezi wakifanikiwa kufungua mlango wa gari hasa wa dereva.

Kwa alam za magari wanatumia kitambaa kushika bonet kufungua na kuchomoa betri alarm apo haiwezi fanya kazi tena.

Cha msing kama mdau alivosema kufunga motion sensor ambazo pia n bei rahisi sna ukienda africable wanauza 30,000+ kingora nlinunua kariko 40,000 na taa moja 17,000 umemaliza kazi ukiongeza na car track kidogo ulizi utakuwepo
 
Mimi nmekua mhanga wa ukibiwa gari so nmefanya research za kutosha ili nisije rudia kosaa na wizi mwing unafanyika usiku kuanzi saa 8 so mda huo wez wanajua watu wamechokaa kuhusu funguo mi naona kwa sasa technology imebadilika sana.
Nimeandika haya ili yasije watokea na wenzangu inauma sana kuibiwa!!! Japo nlikata bima comprehensive na nmelipwa
 
Cha msing kama mdau alivosema kufunga motion sensor ambazo pia n bei rahisi sna ukienda africable wanauza 30,000+ kingora nlinunua kariko 40,000 na taa moja 17,000 umemaliza kazi ukiongeza na car track kidogo ulizi utakuwepo
Mkuu hii si unafunga kwenye gari ama kwenye nyumbani ndani ya geti
 
Back
Top Bottom