Naomba kufahamu sifa za mgombea kiti cha uenyekiti CHADEMA taifa

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Feb 23, 2014
1,179
2,004
Sio nia mbaya, ni kwa dhamira safi ya kufahamu na kujenga uelewa.

Naomba kufahamu kutokana na katiba ya CHADEMA ni sifa zipi ambazo mgombea kiti cha uenyekiti taifa anapaswa kuwa nazo.

Tafadhali,
Karibu sana!
 
Lazima awe mbowe
tapatalk_1485892146512.jpeg
 
Sio nia mbaya, ni kwa dhamira safi ya kufahamu na kujenga uelewa.

Naomba kufahamu kutokana na katiba ya CHADEMA ni sifa zipi ambazo mgombea kiti cha uenyekiti taifa anapaswa kuwa nazo.

Tafadhali,
Karibu sana!
Ni ujasiri na uthubutu wa kuweza kudumu madarakani kwa muda mrefu Kama Rais Mugabe na Rais Museveni.
Jiulize pia Wenyeviti wangapi wamepita CCM tokea hiki Chama chetu cha upinzani pendwa kiteue Mwenyekiti! Ukipata jibu naomba unijulishe mkuu.
 
Back
Top Bottom