Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Sio nia mbaya, ni kwa dhamira safi ya kufahamu na kujenga uelewa.
Naomba kufahamu kutokana na katiba ya CHADEMA ni sifa zipi ambazo mgombea kiti cha uenyekiti taifa anapaswa kuwa nazo.
Tafadhali,
Karibu sana!
Naomba kufahamu kutokana na katiba ya CHADEMA ni sifa zipi ambazo mgombea kiti cha uenyekiti taifa anapaswa kuwa nazo.
Tafadhali,
Karibu sana!