James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,754
Ninaomba kujua sheria zinazozungumzia vyombo vya moto pamoja na masuala ya barabara Tanzania ukiachana na Road Traffic Act CAP 168 pamoja na The motor vehicles Act CAP 124. Naomba kufahamu kama kuna sheria zingine ukiachana na hizo mbili.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.