Joninho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 559
- 611
Habari zenu ndugu na wanachama wenzangu wa hapa Jamiiforum?
Nimatumaini yangu kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu mmeamka salama,niwatakie jumapili njema nyote .
Nielekee moja kwa moja ktk mada kuu Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza,
Naomba kufahamu Sheria yetu ya hapa Tanzania inasemaje kwa mtu/muajiri anae kashifu wafanyakazi wake kila ikifika mwisho wa mwezi ili asiwalipe mishahara yao kwa kuwaita wezi, mbwa na washenzi.
Rekodi zote za mazungumzo yake akitukana na kudhihaki vijana wa nchi hii zipo, na akijisifia"nendeni popote".
Naomba Wana wa Jamiiforum mnisaidie kujua Sheria yetu inasemaje ktk kutumia lugha ya matusi na kuwakashifu wengine.
Nimatumaini yangu kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu mmeamka salama,niwatakie jumapili njema nyote .
Nielekee moja kwa moja ktk mada kuu Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza,
Naomba kufahamu Sheria yetu ya hapa Tanzania inasemaje kwa mtu/muajiri anae kashifu wafanyakazi wake kila ikifika mwisho wa mwezi ili asiwalipe mishahara yao kwa kuwaita wezi, mbwa na washenzi.
Rekodi zote za mazungumzo yake akitukana na kudhihaki vijana wa nchi hii zipo, na akijisifia"nendeni popote".
Naomba Wana wa Jamiiforum mnisaidie kujua Sheria yetu inasemaje ktk kutumia lugha ya matusi na kuwakashifu wengine.