Naomba kufahamu ndege ya gharama nafuu ya kufika Nigeria

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Feb 16, 2017
1,191
1,231
Habari zenu Ba ndugu
Poleni Sana kwa majukum ya hapa na pale,

Ndugu zanguni natambua JF ni kisima cha Elim, ujuzi, maarifa, baraka, neema nk

Lango langu hasa ningependa kutembelea nchi ya Nigeria, mwenye kujua gharama ya Ndege, ya bei nafuu anisaidie anijulishe, minimum cost.
Asante
 
Back
Top Bottom