rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,121
- 1,294
Umemueleza vzr sn kijana hapo juu ni connection +bahati, komando hua wanachagua kila baada ya depo mbili za recruit kuisha so ikiwa umeenda kupiga kozi ya recruit ya jw then ikawa ndo depo ya pili basi comando hua wanakuja kujinadi pale kwa mbwembwe zao then anayependa ataenda kuandika jina ila wakiona idadi yao haijatimia ndio wanapita na kuchukua watu kilazima utashangaa tu umenyanyuliwa na kuambiwa nenda kule. nina mengi ya kuandika ila muda +uvivu wa kuandika,ila kama mungu alikuandikia kimoja kati ya hvy ulivyotaka basi itakuwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana sana.. tena ni rahisi mno ila Muhimu ni
connection + bahati
Mimi nawafahamu wengi tu ambao wametoka six moja kwa moja wakaenda JWTZ wakapiga kozi nasasa wako vyuoni sehemu mbali mbali duniani na wanasomea kada mbali mbali ikiwemo iyo Urubani, Mambo ya IT nk
NOTE: hii ninayo izungumzia ni program mpya ambayo nadhani zamani haikuwepo.. Na ushuhuda wangu ni intake ambayo wameanza kuchukua 2017 mpk sasa
Narejea tena ni rahisi mno ila uwe na connection + bahati
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app