SIR.NOM
Member
- Sep 8, 2012
- 78
- 24
Wadau habarini,
Naombaen ushaur kwa wazoefu wa kilimo cha VITUNGUU MAJI.Nimeshaanza mradi wa kulima hili zao,ndoto yangu ni kulima Ekari 3.
Ila hofu yangu ni uhakika wa SOKO,kwa muda ntakaokuja kuvuna.Maana apa nategemea kuja kuvuna mwez wa 9 mwishoni hadi wa 10 hiv.
Ombi langu,naomba kujua uhakika wa bei nzuri sokoni kwa miezi hiyo kuanzia mwezi wa 9 hadi wa 11
Naombaen ushaur kwa wazoefu wa kilimo cha VITUNGUU MAJI.Nimeshaanza mradi wa kulima hili zao,ndoto yangu ni kulima Ekari 3.
Ila hofu yangu ni uhakika wa SOKO,kwa muda ntakaokuja kuvuna.Maana apa nategemea kuja kuvuna mwez wa 9 mwishoni hadi wa 10 hiv.
Ombi langu,naomba kujua uhakika wa bei nzuri sokoni kwa miezi hiyo kuanzia mwezi wa 9 hadi wa 11