Naomba kufahamu kuhusu tatizo la mtoto kutozungumza mapema

Kitombise

JF-Expert Member
Sep 24, 2013
8,268
24,264
Habarini za weekend hii?

Tatizo langu ninaloliwasilisha hapa ni juu ya mtoto wangu kuwa mzito kuzungumza au kushindwa kunyoosha sentensi vizuri ili aeleweke kama ilivyo kwa watoto wengine.

Kwa sasa ana umri wa miaka mitatu (3), watoto wenzake hapa mtaani tunaoishi nao wao wanajua kuongea mpaka hata wale aliyowatangulia kiumri tayari wanajua kuongea kumzidi yeye. Hii hali mimi nimekuwa nikiiona ya kawaida tu, nikijua kuwa atajua kuongea kadri anavyozidi kukua.

Kilichonifanya mpaka kuja hapa kuomba msaada wenu wa ushauri au wa kitabibu ni juu ya mmama mmoja jirani yangu kuniambia mwanao ana kilimi, hivyo inamfanya ulimi kuwa mzito kuongea hali inayomfanya ashindwe kueleweka vizuri. Ameniambia nimpeleke hospital au nitafute mtu mzima mtaalamu wa mambo hayo amtibie.

Jamani naombeni ushauri juu ya hili, ili nichukuwe hatua mapema, maana nahitaji kumpeleka nursery mwezi wa 6.

Sent using Jamii Forums mobile app

USHAURI ULIOTOLEWA NA MDAU:
Wakwetu pia ana tatizo Hilo Hilo. Huwa tunampeleka hospital kwaajili ya training tofauti tofauti. Ushauri tuliopewa sisi Ni kuwa tumuandakie daily routine ya kufata icho ndio cha kwanza cha muhimu.

Usijali atakuja kutamka ayo maneno kama baba mama na kadhalika ila ukitaka aweze mapema mtafutie wataalamu ili wakufundishe jinsi ya kumsaidia mwanao. Sisi wakwetu mpaka anatimiza three years alikua hajui kujisaidia iwe ni haja kubwa au ndogo ila imesaidia sasa ivi anaenda choo mwenyewe anafanya shughulu zake mwenyewe hata home work ya shule kuna muda akijisikia anafanya mwenyewe bila usimamizi. Usikate tamaa atakaa vizuri tu.

Unajua kama mzazi ukisikia mwanao anatatizo fulani inakuwa inaumiza Sana na kufikirisha kesho yake itakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za weekend hii?
Tatizo langu ninaloliwasilisha hapa ni juu ya mtoto wangu kuwa mzito kuzungumza au kushindwa kunyoosha sentensi vizuri ili aeleweke kama ilivyo kwa watoto wengine.

Kwa sasa ana umri wa miaka mitatu(3), watoto wenzake hapa mtaani tunaoishi nao wao wanajua kuongea mpaka hata wale aliyowatangulia kiumri tayari wanajua kuongea kumzidi yeye.
Hii hali mimi nmekuwa nikiiona ya kawaida tu, nikijua kuwa atajua kuongea kadri anavyozidi kukua.

Kilichonifanya mpaka kuja hapa kuomba msaada wenu wa ushauri au wa kitabibu ni juu ya mmama mmoja jirani yangu kuniambia mwanao ana kilimi, hivyo inamfanya ulimi kuwa mzito kuongea hali inayomfanya ashindwe kueleweka vizuri. Ameniambia nimpeleke hospital au nitafute mtu mzima mtaalamu wa mambo hayo amtibie.

Jamani naombeni ushauri juu ya hili, ili nichukuwe hatua mapema, maana nahitaji kumpeleka nursery mwezi wa 6.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu lkn mi nadhani siyo tatizo kama kwa umri huo ameshaanza kutamka maneno sbb watoto wengine wanachelewa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeleke wamuangalie kama ana udata kama ulivyoshauriwa hapo juu! Mwanangu pia tuliwahi kuhisi ana udata kwa kuwa alichelewa kuzungumzia baada ya kumtizama ilionekana hana hiyo kitu wanaita udata, now ana mitatu kasoro kidogo ndio anaanza kueleweka akutamka lakini alichelewa kulinganisha na kaka yake+ watoto wengine!

Pia lazima mtoto apate watoto wenzake wakucheza nao ili kuongeza idadi ya maneno, kama anashinda na Dada tu wamejifungia ndani muda wote tarajia mtoto kuchelewa kuzungumza! Second born wng huyu alichelewa kwa kuwa hii ilichangia baada ya kuhamia eneo jipya lisilo na watoto watoto !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za weekend hii?
Tatizo langu ninaloliwasilisha hapa ni juu ya mtoto wangu kuwa mzito kuzungumza au kushindwa kunyoosha sentensi vizuri ili aeleweke kama ilivyo kwa watoto wengine.

Kwa sasa ana umri wa miaka mitatu(3), watoto wenzake hapa mtaani tunaoishi nao wao wanajua kuongea mpaka hata wale aliyowatangulia kiumri tayari wanajua kuongea kumzidi yeye.
Hii hali mimi nmekuwa nikiiona ya kawaida tu, nikijua kuwa atajua kuongea kadri anavyozidi kukua.

Kilichonifanya mpaka kuja hapa kuomba msaada wenu wa ushauri au wa kitabibu ni juu ya mmama mmoja jirani yangu kuniambia mwanao ana kilimi, hivyo inamfanya ulimi kuwa mzito kuongea hali inayomfanya ashindwe kueleweka vizuri. Ameniambia nimpeleke hospital au nitafute mtu mzima mtaalamu wa mambo hayo amtibie.

Jamani naombeni ushauri juu ya hili, ili nichukuwe hatua mapema, maana nahitaji kumpeleka nursery mwezi wa 6.

Sent using Jamii Forums mobile app
Milestones zake nyingine zimekaaje?

Anatembea vizuri, anaweza kukimbia, anapanda panda kwenye makochi makabati madirisha?

Anatabasamu accordingly, ukimchezesha chezesha anaonesha furaha?

Anacheza vipi na watoto wengine? Ana tabia ya kufanya kitu kimoja repetitively muda wote anafanya kitu hicho hicho na ukimstopisha anakuwaje?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbadilishie lugha, kama unajua Kiingereza a za nae kwa lugha hii.
Tafuta speech therapist ndiye atakae kusaidia.
Usische kuongea nae ikiwezekana kumchanganya na watoto wenzake.

Anza pia kuongea nae kwa picha mfundishe kushika kalamu. Miaka mitatu mttoto anaanza hata kuhesabu.
 
Milestones zake nyingine zimekaaje?

Anatembea vizuri, anaweza kukimbia, anapanda panda kwenye makochi makabati madirisha?

Anatabasamu accordingly, ukimchezesha chezesha anaonesha furaha?

Anacheza vipi na watoto wengine? Ana tabia ya kufanya kitu kimoja repetitively muda wote anafanya kitu hicho hicho na ukimstopisha anakuwaje?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtundu sana anapanda sana hadi anaweza kupanda kwwnye miti, anapiga watoto wwnzake kila mara. kashaniharibia vitu kibao vya ndan kwa kuvichezea.
Amechangamka na anafuraha kila wakati. In short anapenda michezo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbadilishie lugha, kama unajua Kiingereza a za nae kwa lugha hii.
Tafuta speech therapist ndiye atakae kusaidia.
Usische kuongea nae ikiwezekana kumchanganya na watoto wenzake.

Anza pia kuongea nae kwa picha mfundishe kushika kalamu. Miaka mitatu mttoto anaanza hata kuhesabu.
Anacheza na wenzake sana tu, maana nakaa uswahilini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbadilishie lugha, kama unajua Kiingereza a za nae kwa lugha hii.
Tafuta speech therapist ndiye atakae kusaidia.
Usische kuongea nae ikiwezekana kumchanganya na watoto wenzake.

Anza pia kuongea nae kwa picha mfundishe kushika kalamu. Miaka mitatu mttoto anaanza hata kuhesabu.
Anajua pia kuhesabu ila kuandika ndo bado hajaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbadilishie lugha, kama unajua Kiingereza a za nae kwa lugha hii.
Tafuta speech therapist ndiye atakae kusaidia.
Usische kuongea nae ikiwezekana kumchanganya na watoto wenzake.

Anza pia kuongea nae kwa picha mfundishe kushika kalamu. Miaka mitatu mttoto anaanza hata kuhesabu.
This is..mtoto akiwa anaongeleshwa maneno inamsaidia sana kudevelop articulation fast.
Ile nayo ya mzazi hana muda kukaa na mtoto kila kitu ajue dada wa kazi huwa ni changamoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mtundu sana anapanda sana hadi anaweza kupanda kwwnye miti, anapiga watoto wwnzake kila mara. kashaniharibia vitu kibao vya ndan kwa kuvichezea.
Amechangamka na anafuraha kila wakati. In short anapenda michezo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Give it time.

Anafanana na mdogo wangu alikuwa haongei umri huo. Hadi walimuita bubu.

Lakini sasa hivi anapiga soga kama hana akili nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom