Nlimaliza 2015 advanced level Pugu sec ila now days ufaul umekuwa wa kawaida sana na mazingira itategemea na ww mwanafunzi.Adha kubwa ilikuwa maji ila nafikir wamelitatua mengine ni kawaida tu.Habari wana JF.
Naomba kwa wale ambao wamemalizia pugu boyz au minaki kwa miaka hii ya karibuni frm 2016 -..... Mnipe background ya hizo schools in terms of schoolo life daily routine to academic issues na ipi ni bora kuizidi yenzake?
KARIBUNI.