...naomba kufahamu kuhusu rank na ubora kati ya medicine ya tanzania na urusi...

wanafunzi wanaotoka nje wengi hawako patient oriented kwa sababu ya sera za huko. Wana shule vichwani ila kuitranslate na kitu anachokiona inakuwa ishu. Wengi hawahusiki kwenye simpo procedures sasa wakija huku wewe ndo wewe na mgonjwa ko ndo hapo wabongo tunawapiga bao kwani tulishaanza kujifunzia wagonjwa toka fourth year. Pia kuna magonjwa huku ni common huko hayapo na guidelines za treatment ni tofauti. Kama unatoka nje fanyia intern mnh ili ubadilike from sophisticated to manual zaidi. Huko kwingine utaumia sana mpaka utakapozea siyo leo. Otherwise shule ni ile ile na brain zetu ni zile zile za sengerema

Kuna vitu vingine huwa vinanishangaza sana! kwana Urusi ni Banana Republic - unaweza kweli ukalinganisha dunia ya kwanza na TANZANIA, wewe ujasoma Urusi haya mambo ya kusema eti wanafunzi walio somea huko hawako patient oriented una maana gani? Unataka kutueleza wana JF kwamba madaktari waliohitumu Urusi walikwenda kusomea kutibu miti na siyo binadamu!

Kwa nini unataka kuwadhalilisha madkitari wenzako (kama wewe ni daktari kweli) walio soma Urusi au Uchina eti shule zao ziko vichwani tu awana uwezo wa kutafsiri wanacho kiona! Mimi nafikili unapashwa kuwaomba msamaha kwa lugha yako hisiyo ya kistaraabu, kwani unafikili walikuwa wanajifunza kwenye dummies!

Kwa mawazo yako kwani Medicine ni nini hasa, siku kukalili majina ya kigriki na kilatini (i.e majina ya magonjwa, dalili zake na matibabu, mwili wa binadamu na organs zote and what have you) tangu lini Medicine ikawa na mahesabu na formula kama za Engineering - mambo mengi ni ya kukalili tu kama historia, mimi siwasemi vibaya madkitari, nisichotaka ni kule wabongo kudhalau wabongo wenzao walio soma nje hasa Urusi, wanayafanya haya kwa madhumuni ya kujirinda tu na ubinafsi, nataka uelewe kwamba Serikali yetu imeanza kuwapeleka wanafunzi Urusi tangu tupate Uhuru, Serikali siyo wajinga - haipendezi nyinyi kujiona zaidi na wenzenu si lolote si chochote, mambo ya kusema kuwapiga bao yanatoka wapi kwani kuna mashindano gani hapa.

Mwisho labda nikuhulize: Unaposema Tanzania(Africa) magonjwa ambayo yako common huku na hayako Ulaya kwa hiyo Mtanzania aliyesomea Urusi itamuwai vigumu kuyatibu, sasa hapo unataka kutueleza nini! Mswahili asijuwe magonjwa ya kitropiki!!! Inakuwaje Wachina, Warusi, Waingereza wanapokuja TANZANIA kama madktari kwa kujitolea au kulipwa wanakuwa na uwezo mkubwa ku-diognise na kutibu magojwa yote ya kitropiki wakati wenyewe ni Wazungu, leo hii unatwambia Mswahili aliye somea Urusi/Uchina hawezi kutibu magonjwa ambayo yako NATIVE nchini mwake! Attitude zako hizo kama unaweza kuwa RMO au Mkurugenzi pale wizara ya afya naona hawa watu waliosoma Urusi/Uchina watapata wakati mgumu sana, kasumba hii haifai hata kidogo.
 
Shule ya russia na tz tofauti though principles are the same. Huku tumejikita zaidi ktk infectious diseases, yani tropical medicine. Halafu tz ni mahala ambapo wanafunzi wanaruhusiwa kufanya majaribio na kutibu wagonjwa, russia wanatumia midoli tuu! Bongo teknolojia hamuna, ila kwa experience ya real time practice na kujifunza ndo penyewe.
 
Shule ya russia na tz tofauti though principles are the same. Huku tumejikita zaidi ktk infectious diseases, yani tropical medicine. Halafu tz ni mahala ambapo wanafunzi wanaruhusiwa kufanya majaribio na kutibu wagonjwa, russia wanatumia midoli tuu! Bongo teknolojia hamuna, ila kwa experience ya real time practice na kujifunza ndo penyewe.

Si kweli, kama unataka kufahamu nani bingwa mgonjwa aje ambaye gonjwa halipatikani tanzania na wala halipatikani urusi harafu wa tanzania na wa urusi wafanye kuli diogonize hilo gonjwa, uone kimeo.

Mimi nafikiri wanaosoma bongo wana advatange mwanzoni kwa kuwa magonjwa ni yaleyale yanajirudia. Huwezi sema unatibu kwa kutoa klokwin.
 
Kuna vitu vingine huwa vinanishangaza sana! kwana Urusi ni Banana Republic - unaweza kweli ukalinganisha dunia ya kwanza na TANZANIA, wewe ujasoma Urusi haya mambo ya kusema eti wanafunzi walio somea huko hawako patient oriented una maana gani? Unataka kutueleza wana JF kwamba madaktari waliohitumu Urusi walikwenda kusomea kutibu miti na siyo binadamu!

Kwa nini unataka kuwadhalilisha madkitari wenzako (kama wewe ni daktari kweli) walio soma Urusi au Uchina eti shule zao ziko vichwani tu awana uwezo wa kutafsiri wanacho kiona! Mimi nafikili unapashwa kuwaomba msamaha kwa lugha yako hisiyo ya kistaraabu, kwani unafikili walikuwa wanajifunza kwenye dummies!

Kwa mawazo yako kwani Medicine ni nini hasa, siku kukalili majina ya kigriki na kilatini (i.e majina ya magonjwa, dalili zake na matibabu, mwili wa binadamu na organs zote and what have you) tangu lini Medicine ikawa na mahesabu na formula kama za Engineering - mambo mengi ni ya kukalili tu kama historia, mimi siwasemi vibaya madkitari, nisichotaka ni kule wabongo kudhalau wabongo wenzao walio soma nje hasa Urusi, wanayafanya haya kwa madhumuni ya kujirinda tu na ubinafsi, nataka uelewe kwamba Serikali yetu imeanza kuwapeleka wanafunzi Urusi tangu tupate Uhuru, Serikali siyo wajinga - haipendezi nyinyi kujiona zaidi na wenzenu si lolote si chochote, mambo ya kusema kuwapiga bao yanatoka wapi kwani kuna mashindano gani hapa.

Mwisho labda nikuhulize: Unaposema Tanzania(Africa) magonjwa ambayo yako common huku na hayako Ulaya kwa hiyo Mtanzania aliyesomea Urusi itamuwai vigumu kuyatibu, sasa hapo unataka kutueleza nini! Mswahili asijuwe magonjwa ya kitropiki!!! Inakuwaje Wachina, Warusi, Waingereza wanapokuja TANZANIA kama madktari kwa kujitolea au kulipwa wanakuwa na uwezo mkubwa ku-diognise na kutibu magojwa yote ya kitropiki wakati wenyewe ni Wazungu, leo hii unatwambia Mswahili aliye somea Urusi/Uchina hawezi kutibu magonjwa ambayo yako NATIVE nchini mwake! Attitude zako hizo kama unaweza kuwa RMO au Mkurugenzi pale wizara ya afya naona hawa watu waliosoma Urusi/Uchina watapata wakati mgumu sana, kasumba hii haifai hata kidogo.

Mkuu sio kwamba mtanzania aliyesomea ulaya atashindwa hapana si kweli, lakini itamchukua mda kidogo tofauti na yule pale ambaye kila siku anayaona, ni mawazo yangu tu.

Mkuu leo, ukitoka bongo na taifodi yako ukaja ulaya na ukaenda hospitali na uwaambie tu unaumwa tumbo hivi, itawachukua mda madaktari kugundua unaumwa taifodi. Lakini daktari wa bongo ukimweleza jinsi tumbo linavyouma hata hakupimi atakwambia una taifodi. Sijui unanielewa nataka kujenga hoja gani hapa?

Na ndiyo maana nchi nyingi kama umesomea nje ya nchi yao udaktari ukirudi nyumbani lazima upigwe kozi ikiendana sambamba na mtihani, sijui TZ nayo iko hivo
 
mnh yaani nyie mnaoperate kichwa badala ya mguu...ndio mko bora zaidi ya russia??? endeleeni kujidanganya!
 
anyway,labda wale masurgeon na wengine ndio wanaweza kufanya kazi popote, i just think general doctor iko too complicated sijui huko tanzania kukoje ila europe nadhani kama wewe ni daktari kutoka nchi nyingine lazima upitie mitihani kisha ufanye kazi kama junior doctor kwa kipindi fulani/orientation...................... i just think doctor from tanzania cant work in uk straight away without orientation...vice versa doctor from uk cant work in tanzania without orientation kwa manesi najua ukija uk lazima ufanye adaptation course ndio upewe PIN NO ya kupractise nadhani na madoctor hivyo hivyo....

lazima madktari waliosomea nje waje kufanya kazi kama junior doctor hapo tanzania kwa muda fulani kabla ya kuanza kupractise unless wamespecialize km heart surgeon....lakini kama ni general physician i think six to twelve months adaptation course will prepare them well to face the challenges/diseases that are in tropical areas.
 
Mkuu sio kwamba mtanzania aliyesomea ulaya atashindwa hapana si kweli, lakini itamchukua mda kidogo tofauti na yule pale ambaye kila siku anayaona, ni mawazo yangu tu.

Mkuu leo, ukitoka bongo na taifodi yako ukaja ulaya na ukaenda hospitali na uwaambie tu unaumwa tumbo hivi, itawachukua mda madaktari kugundua unaumwa taifodi. Lakini daktari wa bongo ukimweleza jinsi tumbo linavyouma hata hakupimi atakwambia una taifodi. Sijui unanielewa nataka kujenga hoja gani hapa?

Na ndiyo maana nchi nyingi kama umesomea nje ya nchi yao udaktari ukirudi nyumbani lazima upigwe kozi ikiendana sambamba na mtihani, sijui TZ nayo iko hivo

Mkuu nakuelewa vizuri tu, madaktari wazungu ambao wako Ulaya inawachukuwa muda kutambua magonjwa ya kitropic; lakini mbona nilikuwa naona wanawauliza wazungu ambao wanaumwa magonjwa yenye utata kidogo, kama wamewahi kutembelea Africa/Asia walipo kuwa holiday, majibu yao ndiyo huwa yanawasaidia madaktari hao ku-zero in kwenye tatizo lenyewe kama ni:Malaria,Yellow fever na kwa wale walikuwa wanatoka India/Bangladesh/Paskistani wanapimwa TB.

Tukija kwa madaktari waswahili walio somea Urusi, mimi siamini kwamba inawachukua an eternity kutambua magojwa ya kitropic ambayo yako NATIVE kwa nchi walio zaliwa, mkuu sina hakika kama wakirudi nyumbani wanapigwa kozi ikiendana na mitihani - kuna aja gani ya mitihani tena, kwa nini wasiugane na wenzao kwenye awamu ya intern.

Kitu kingine, why pick on Madaktari walio soma Urusi, mbona hawazungumzii walio soma Uingereza, Merikani, Australia nk. Mimi nalisema hili kwa kuwa niliwahi kuona daktari mstaafu aliyewahi kusomea Urusi akiojiwa kwenye TV, alisema ilimchukua muda sana kupewa cheo cha RMO! Na alipo teuliwa bado wanzake walikuwa awa amini kama kazi hiyo angeimudu - sasa hii ni kasumba gani? zama hizi tena bado kuna watu/madaktari wenye mawazo remnant ya vita vya baridi (East vs West).
 
simply i will be comfortable to be treated with doctor who studied from russia than a doctor who studied here in tanzania so as majority of people will do the same!
 
Mkuu nakuelewa vizuri tu, madaktari wazungu ambao wako Ulaya inawachukuwa muda kutambua magonjwa ya kitropic; lakini mbona nilikuwa naona wanawauliza wazungu ambao wanaumwa magonjwa yenye utata kidogo, kama wamewahi kutembelea Africa/Asia walipo kuwa holiday, majibu yao ndiyo huwa yanawasaidia madaktari hao ku-zero in kwenye tatizo lenyewe kama ni:Malaria,Yellow fever na kwa wale walikuwa wanatoka India/Bangladesh/Paskistani wanapimwa TB.

Tukija kwa madaktari waswahili walio somea Urusi, mimi siamini kwamba inawachukua an eternity kutambua magojwa ya kitropic ambayo yako NATIVE kwa nchi walio zaliwa, mkuu sina hakika kama wakirudi nyumbani wanapigwa kozi ikiendana na mitihani - kuna aja gani ya mitihani tena, kwa nini wasiugane na wenzao kwenye awamu ya intern.

Kitu kingine, why pick on Madaktari walio soma Urusi, mbona hawazungumzii walio soma Uingereza, Merikani, Australia nk. Mimi nalisema hili kwa kuwa niliwahi kuona daktari mstaafu aliyewahi kusomea Urusi akiojiwa kwenye TV, alisema ilimchukua muda sana kupewa cheo cha RMO! Na alipo teuliwa bado wanzake walikuwa awa amini kama kazi hiyo angeimudu - sasa hii ni kasumba gani? zama hizi tena bado kuna watu/madaktari wenye mawazo remnant ya vita vya baridi (East vs West).

Mkuu
Nakupata vyema mkuu, lakini nchi nyingi ukisoma nje unapigwa kozi na kijimtihani. Anyway
Hawaongelei waliosoma uingereza kwa nafikiri kwa sababu ni wachache mno kwa kizazi hiki, maana kusoma udaktari nchi hizo baba yako lazima awe bilionea maana sifikiri hata kama kuna scholarship na kama zipo basi ni ndogo sana sana.

Lakini nchi za ulaya mashariki na urusi bado zinatusaidia kutupa nafasi za kusoma ktk maeneno hayo, na ndio wengi waliosoma udaktari nje ya nchi wamesoma kutoka huko na ndiyo maana wanaongelewa sana, na wauingereza hawaongolewi kwa sababu ni wachache sana ama hawapo kabisa.
 
Mkuu
Nakupata vyema mkuu, lakini nchi nyingi ukisoma nje unapigwa kozi na kijimtihani. Anyway
Hawaongelei waliosoma uingereza kwa nafikiri kwa sababu ni wachache mno kwa kizazi hiki, maana kusoma udaktari nchi hizo baba yako lazima awe bilionea maana sifikiri hata kama kuna scholarship na kama zipo basi ni ndogo sana sana.

Lakini nchi za ulaya mashariki na urusi bado zinatusaidia kutupa nafasi za kusoma ktk maeneno hayo, na ndio wengi waliosoma udaktari nje ya nchi wamesoma kutoka huko na ndiyo maana wanaongelewa sana, na wauingereza hawaongolewi kwa sababu ni wachache sana ama hawapo kabisa.

Mkuu nakubaliana nawe 100% - vile vile na hili la kusema "ukisomea nje Udaktari unapigwa kozi na kijimtihani ukirudi nchini" naona hakuna ubaya nchi kujiridhisha kwamba kila kitu kiko balabala. Mimi humu niliyasema maksudi tu kutaka kuwachemsha kwamba wasiwe wanawadhalau madaktari wenzao walio somea Urusi/Uchina, there might be a thing or two to patchup here and there lakini hiyo hawafanyi kuonekana as if ni Half cooked DOCTORS. Ndio hayo mkuu, nashukuru sana MkamaP.
 
Lakini naweza kushawishika kukubaliana na mtoa maada kwa mazingira yake. Lakini hii halihusiani sana na masomo ya darasani bali mazingira aliyosomea.

Nitatoa ushuhuda
Mie sijawahi kusoma biology nimesoma technical toka secondary , lakini tukiwa ktk nchi fulani ulaya huwa kuna wakenya wanakuja kukimbia kwa msimu wanarudi, basi mkenya mmoja akauugua wakampeleka hospitali waganga na watalaamu na mashine zao wakijikusanya wakamfanyia uchuguzi hawapati kitu, siku mbili zimepita wanakuna kichwa jamaa yupo hoi na uhoi unazidi, rafikii yangu mwingine mkenya akanichukua twende tukamcheck jamaa, kukuta jamaa wa njano tukawaambia madaktari huyu either ni yellow fever ama malaria, walivyompima wakakuta na yellow fever.
Lakini madaktari walikuwa wamejikita sana kwenye ini, kuchunguza. Hivyo sisi tukawa tumegundua gonjwa japo sio madaktari lakini ni kutokana na mazingira tuliyokulia.

Hivyo Daktari aliyesoma Tz kwa kuona magonjwa hayo hayo kila siku ni rahisi kuyang'amua mapema wenda kuliko wa ulaya kwa sababu wa ulaya amefanya na kusoma ktk magonjwa tofauti kabisa.
Mfano, Unaweza somaulaya na kufanya kazi miaka mingi ya kutosha lakini hujawahi kukutana na mgonjwa wa malaria, sasa wakikushusha moja kwa moja pale bongo kwa mentality za kibongo utaonekana hujui.

Udaktari naufananisha kwa mbali na watu waliosoma sheria, nafikiri huwezi chomoka na sheria yako ya tz ukaenda moja kwa moja kudefend kesi tuseme us, ili ufanye hivyo itabidi wakupe mda upate kuzipitia sheria za nchi husika, vivyo hivyo kwa madaktari kama umesoma ulaya kwenye msisitizo wa magonjwa tofauti itabidi wakupe mda ili kuweza kwendana na magonjwa ya nyumbani, sasa huu mda wa mpito ndo wanaonekana hawajui,LAKINI kwa mentality za kibongo.

mkuu MkamaP Nimekuelewa sana asante kwa ufafanuzi mzuri.nafikiri hiyo ni sawa na baadhi ya magonjwa ambayo muda mwingine madaktari hawayaoni kwenye vipomo au wanashindwa kutibu.mara nyingi madaktari hushauri njia mbadala labda kwa kutumia mitishamba na mgonjwa akapona.pamoja na hivyo huwezi kusema mitishamba ni bora kuliko madokta walioshindwa kutibu/kuuona ugonjwa husika.!
 
Zote hizi mimi naziweka ktk kasumba hasa inayotokana na kutoka kwenye lindi la umaskini na mbaya zaidi mpaka kwenye umaskini wa fikra!
Nitaanza kwa kutoa mfano!kulikuwa na kipofu mmoja ambaye toka kuzaliwa kwake hakupata kuona kabisa.alikuwa akiomba na kwa bahati sikuoja akajaliwa kuona!guess what,alipofungua macho aliona kitu kimoja tu,nacho ni punda na kisha akarudi kuwa kipofu.alifurahi sana na kustaajabishwa na uzuri wa punda.sasa kipofu huyu mpaka leo ukisema tu hili gari zuri,yeye anadakia kama punda!najua mmenielewa.
Umuhimbili ni ugonjwa unasumbua sana!mimi si shangazwi na hilo,maana wakati tunasoma pcb na hata kabla ya hapo,tulijua ili uwe daktari ni lazima uende muhimbili,na kumbuka enzi hizo intake ilikuwa ndogo sana ukilinganisha na watu waliokuwa na uwezo wa kwenda huko.hivyo ilikuwa ukibahatika kuchaguliwa basi wewe unakuwa kama ni rare special furani hivi.hata machief na kauli zao pale muhimbili zilikuwa ni za kuwaaminisha stdnts kuwa wao,acha tu!hii inasumbua mpaka leo ingawa inatoweka kwa kasi ya ajabu,maana sasa wanapata nafasi ya kuona wenzao wengine na kugundua aah!kumbe hawa nao ni kama sisi tu!niliwahi kumsikia comrade mmoja akilopoka eti hata havard haitufikii muhmbl!kwa kweli nilimwambia ni kujidanganya tu.ni kweli kuna ukongwe wa chuo ukilinganisha na vyuo vingine,lakini hiyo haiondoi ukweli wote ni madr na wananafasi sawa kufikia maximumal potential ktk proffessional provided enough time on intended archievment.nikupe mfano.
Sasa hivi kuna baadhi tena kwa wingi,mds from mhml,imtu,kcmc and others wanapata uzoefu na kufundishwa prcdres na amo!sasa tuseme amo ni wazuri sana kuliko mds!!??kuna baadhi ya ma nurse wanafanya mpaka c/s huko mikoani na wewe ukienda intern unatetemeka wakuitaje?tusichanganye knowledge na uzoefu ndugu zangu,unajua, lakini unahitaji muda kupata uzoefu.
Sasa hivi kuna motion inaendelea kupunguza muda wa amo kusoma md course eti kisa wanafanya prcdr kama za ma md!!this is stupidity!ni sawa tu na kusema kwa kuwa jamaa anajua kujenga sana basi awe tu inginia.ni ujinga tu hasa wa mawazo!tunachakachua elimu na ndio maana kupewa nafasi ya kufanya makosa na pengine kusababisha kifo kwa mgonjwa inaonekana ni ujanja.hapa kwetu madr hatupo answerable to our malicious practice kama ilivyo kwa wenzetu!ni hulu tu co anaweza akamshona mgonjwa na kisha akatoa nyuzi kisa hajapewa kitu kidogo!ni huku tu twakimu za maternal dealth halisi zinaweza kuchakachuliwa kwa sababu za kisiasa na nyinginezo na mtu bado akapeta!ni huku tu ambapo intern anaweza kusimamiwa na mtu ambaye kimsingi yuko chini yake au sawa nae!ni huku tu mgonjwa anaweza kufa kwa sababu za kizembe na hakuna atakaewajibishwa.si kitu cha kujivunia sana very junial md stdt ku attend wagonjwa na pengine bila hata supervisn,hivi ni wangapi wanaondoka na vi air emboli au threbitis!?na pain kwa wagonjwa na zile pole kupunguza maumivu!kama nnchi yetu itaendelea na wananci kujua haki zao hakuna mgonjwa ataguswa na undergraduate!unakuta hata mgonjwa anatumika kufundishia bila consent yake na ikitokea akakataa,eeeh!atakoma.wandugu tukizoea sana vya kunyonga tutashindwa vya kuchinja,mazoea hujenga tabia,pls tukubali kila mtu anahitaji mda kukabiliana na challenge mbalimbali ikiwemo hili la kazi!naomba ieleweke nimesomea tanzania!
Kama kawaida mnisamehe kwa typing errors!
 
Wakuu natoa ushuhuda wangu ,jana nilihudhuria scientific event iliyofanyika katika MEDICAL SCHOOL, Kabla shughuli hazijaanza kuna Professor alitoa conference kuhusu AGING;

Jamaa amebobea sana maswala ya medicine ,na kafanya research kibao. akasema

1.Kwa uchunguzi wake medicine inayofundishwa darasani imepitwa na wakati na haitufai completely kwa muda na Mazingira ya sasa.Hii ni kwa sabau materials na syllabus zilitengenezwa mudaa mrefu sana,kumbuka kuna laws nyingi zinaimbwa kama zilivyo na hazifanyiwi matenegenzo kufiti muda na mazingira ya sasa. Kuna syndromes ambazo zimeandikwa kwenye vitabu na katika practice ya kawaida hazitokei labla kwenye intensive care units, yaani hii medicine inahitaji MAREKEBISHO MAKUBWA SANA AMBAYO KIZAZI HIKI kinatakiwaaaaa kufanya.

Porff. aliendelea kuongeza kuwa MEDICINE inayosomwa kwa imeathiriwa sana na CAPITALISM and is influenced by Super powers ,yaani tunauziwa mbuzi kwenye gunia..
(My concern is one proff one day told me why natural and traditiona medicine is not developed)

MY CONCERN, KAMA MD YA TZ NI NZURI MBONA BADO KUNA MAGONJWA MENGI AMBAYO KATIKA NCHI MASIKINI KAMA CUBA YAMESHATHIBITIWA MIAKA YA 60 NA 70?

2.Definition ya 'AFYA' tunayoitumia kwa sasa haitufai ,hii ni kadri ya research zake.


Depending on the facts above, mimi NINAONA ELIMU ya TZ NI THEORY ,PRACTICE hakuna, huenda mitihani ina-dwell ku describe vitu ambavyo havitokei tena., kwa hiyo mtu kutoka URUSI hajakririshwa nakuimbishwa vitu ambavyo sio practical kwa sasa, kwa HIYO MADR. TOKA NJE SIO COMPATIBLE NA PRESENT MEDICAL PRACTISE YA BONGO.



Mfano mwingine.


Kuna Proff, alienda Angola na akatoa somo juu ya Genetic disease moja, lakini Madaktari Waafrika ailyeongea nao walikuwa hawajui anachokiongea; Je, asiyejua ni Nani?


NI MPAKA JANA NILIELEWA KWA NINI KATIKA MEDICAL SCHOOL NCHI ZILIZOENDELEA KATIKA FIELD HII KAMA CUBA,WANAFUNZI WANAANZA KUFANYA KAZI HOSPITALINI TOKA MWAKA WA KWANZA, MTU MWENYE KUJUA DAKTAR
I MBOVU ALIYESOMEA CUBA NA ASEME
 
Mkuu
Nakupata vyema mkuu, lakini nchi nyingi ukisoma nje unapigwa kozi na kijimtihani. Anyway
Hawaongelei waliosoma uingereza kwa nafikiri kwa sababu ni wachache mno kwa kizazi hiki, maana kusoma udaktari nchi hizo baba yako lazima awe bilionea maana sifikiri hata kama kuna scholarship na kama zipo basi ni ndogo sana sana.

Lakini nchi za ulaya mashariki na urusi bado zinatusaidia kutupa nafasi za kusoma ktk maeneno hayo, na ndio wengi waliosoma udaktari nje ya nchi wamesoma kutoka huko na ndiyo maana wanaongelewa sana, na wauingereza hawaongolewi kwa sababu ni wachache sana ama hawapo kabisa.




Mkama p

Umeongea kweli kabisa.

Ni next to impossible kama Mtanzania ambae atafanikiwa kusoma Uingereza au Marekani kurudi nyumbani kutokana na maslahi.Hiyo ndio sababu kubwa huwezi kusikia Dr. Mtanzania aliyesomea UK au USA kwa kuwa lazima wabaki huko kutokana na mazingira ya nyumbani yalivyo na urasimu.
 
Mkuu
Nakupata vyema mkuu, lakini nchi nyingi ukisoma nje unapigwa kozi na kijimtihani. Anyway
Hawaongelei waliosoma uingereza kwa nafikiri kwa sababu ni wachache mno kwa kizazi hiki, maana kusoma udaktari nchi hizo baba yako lazima awe bilionea maana sifikiri hata kama kuna scholarship na kama zipo basi ni ndogo sana sana.

Lakini nchi za ulaya mashariki na urusi bado zinatusaidia kutupa nafasi za kusoma ktk maeneno hayo, na ndio wengi waliosoma udaktari nje ya nchi wamesoma kutoka huko na ndiyo maana wanaongelewa sana, na wauingereza hawaongolewi kwa sababu ni wachache sana ama hawapo kabisa.

Mkama p

Umeongea kweli kabisa.

Ni next to impossible kama Mtanzania ambae atafanikiwa kusoma Uingereza au Marekani kurudi nyumbani kutokana na maslahi.Hiyo ndio sababu kubwa huwezi kusikia Dr. Mtanzania aliyesomea UK au USA kwa kuwa lazima wabaki huko kutokana na mazingira ya nyumbani yalivyo na urasimu.
 
Back
Top Bottom