Yaelezee hapa tupate kifahamu pia...Njoo inbox nikupe namba zangu nikupe yote ya OUT, ni mfumo mzuri sana wa elimu
Jisomee hapa Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)Habari za majukumu,
Naitaji kusoma degree ya Open University nahitaji kujua utaratibu wa namna ya kusoma kwa huo mfumo. Nini nikifanye na changamoto zipi zinaweza tokea katika hili!
Asante
🤜🤛Shukran
We mwizi tu.Njoo inbox nikupe namba zangu nikupe yote ya OUT, ni mfumo mzuri sana wa elimu
Nami nataka kusoma hukoHabari za majukumu,
Naitaji kusoma degree ya Open University nahitaji kujua utaratibu wa namna ya kusoma kwa huo mfumo. Nini nikifanye na changamoto zipi zinaweza tokea katika hili!
Asante
Umenikosea sana ndugu, nijipatie ugali kivipi??We mwizi tu.
Unataka upate ugali wa leo kupitia ndugu aliyeuliza.
Nikushauri: FANYA KAZI ACHA UDWANZI
Pole mkuu, pengine umekwazika sana, hii JF bhana. Huenda aliyeku reply alikuwa ana nia nzuri tu sema communication skills ni issue kwa tulio wengi.Umenikosea sana ndugu, nijipatie ugali kivipi??
Mimi nimesoma OUT Bachelor degree nilipomaliza nikaunganisha na Master's degree hapa hapa OUT. Sasa kumwambia aje PM nimpe namba zangu ili nimpe A -Z kuhusu OUT mana mara nyingi huwa sipo online nimefanya kosa?? Ila yote heri tu.