zile ni za vijana wa Jkt tu na wameshafanya usahili ila bado hawajaenda kuanza mafunzoNaomba kama kuna mtu anafahamu hizi ajira za jeshi la polisi zilizotoka tar 25 june 2018 deadline ilikua tar 1 july 2018.zikasitishwa je! zimetangazwa tena?
Bado hazijatangazwa tena.Naomba kama kuna mtu anafahamu hizi ajira za jeshi la polisi zilizotoka tar 25 june 2018 deadline ilikua tar 1 july 2018.zikasitishwa je! zimetangazwa tena?
WeWashaenda kozi na simu wameshazima Jana au juzi ndio walikuwa wanamalizokia kuripoti chuoni MPA
Kuna mwenye update yeyote ya walioomba AJIRA POLICE mwaka 2021