It depends on your skin colour, Ila acheni kuvaa ma copper sijui chuma gani hadi likuchubue
😂😂😂😂Shanga avae mtoto mwembamba slim flani hivi au yeyote mwenye umbo la kati sio mnene sio mwembamba ndio zinanoga sio ukute jitu bongeeee halafu linavaa shanga,inakuaga kama mzigo wakuni uliofungwa kamba unasubiri kubebwa.
ohooo😅Shanga ivaliwe kwenye kiuno cha nyigu na sio mwenye kitambi cha michemsho na bia za bure.
Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenziJe, hizi shanga na chain za kiunoni kazi Yake Nini hasa..au Ni urembo TU..
Je, zikivaliwa huwa zinahamasisha Jinsia me?..
Usichelewe Jitahidi Kabla October 28Nikiwa hai kutoa ushuhuda.
Nakumbushia Mrejesho, Samahani Kama Niko Nje Ya Mada....
Wanaume Wa Dar es Salaam Wanasema Zinaitwa Utunda 😁😂😀😀😅 October 28 Inachelewa Kweli Kweli!!😋😋Bado tarehe 28haijafika...kuwa na subira
Shanga na cheni kiunoni wengi wao wanaovaaa uwa ni malaya, kwa lengo la kuhamasisha wanaumeJe, hizi shanga na chain za kiunoni kazi Yake Nini hasa..au Ni urembo TU..
Je, zikivaliwa huwa zinahamasisha Jinsia me?..
Je, hizi shanga na chain za kiunoni kazi Yake Nini hasa..au Ni urembo TU..
Je, zikivaliwa huwa zinahamasisha Jinsia me?..
Kwa sisi wazeee, enz za ujana wanawake zetu walivaa kwa utofauti wa aina na wingi wake,mfano akivaa shanga kuanzia 6... Huyo anahitaji akuridhishe mwanamme...kwahyo kajiandaa kukukatikia miuno na Masham masham ya kukulegeshea kiuno mpk utaje password ya ATM na ulipoficha hati za viwanja huko...ila akivaa shanga mbili au moja basi, hayuko okay amechoka ila anahamu...so kazi kwako mwanamme kumshughulkia na aridhike.....(kukojoa).. Ila kama hajavaa basi ujue atakupa kama ukiomba ili usichepuke(akupe tu haki yako ya ndoa ny*ge zikuishe)...Je, hizi shanga na chain za kiunoni kazi Yake Nini hasa..au Ni urembo TU..
Je, zikivaliwa huwa zinahamasisha Jinsia me?..
Shanga zinaparazwa taratibu mgongoni kpnd cha kumuandaaa keKuna vitu vinavutia kuvitazama ila havina mchango kwenye tendo. Mfano tko kubwa au kifua mchongoko. Ukianza kupump na kuroll utajikuta unasahau kuchezea tena hizo shanga hii yote ni kwakua shimo baya ni la nyoka tu haya mengine tunaishi nayo.
Huyo siyo mzee mwenzako!
Ukishamaliza kumuandaa utazipalaza tena saa ngapi?Shanga zinaparazwa taratibu mgongoni kpnd cha kumuandaaa ke
Hahahahahhah mwsho wa matumizi...(Nyongeza ukiona mdada kavaa shanga nyingi alaf mko part ujue baada ya hapo anaenda kumtunuku mtu na kama mke wa MTU,basi anachepuka na MTU anaempenda sanaaaaa na kama anavaa mda wote hadi kazi kila siku ujue....Ukishamaliza kumuandaa utazipalaza tena saa ngapi?