Ethan Cruz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2021
- 231
- 331
HAPO VIPIongeza picha
HAPO VIPIongeza picha
Mkuu za siku tele????Chanjo ishaanza kufanya kazi mwilini...🙄duh!!!
Aah bora nitumie malimao t nakuvaa gloves na barakoa kz chanjo bn hpn stk kufa wala kuparalize kz bd dunia tamu mambo km hayo ya shanga ntaonea wp mbingun hknChanjo ishaanza kufanya kazi mwilini...🙄duh!!!
😅😅😅Ngoja nimsaidie hapa ukiolewa hapo zaman baadh ya mila hasahasa pwan unapewa shanga 3, moja nyekundu hii inavaliwa wakati upo ktk hedhi,mume akiona kiuno anajua mke wangu yupo safar,halafu Kuna nyeupe hii unavaa ukimaliza hedhi kwamba uko msafi mwili mzima,halafu shanga ya tatu ni ya rangi mchanganyinyo zinakua mbili kwa pamoja moja ndefu kdogo Yan inakua inapwaya kiunon nanyingine inakaza kdogo hii inakua urembo tu wa kupendezesha kiuno na shanga huongeza akshi tu na hutumika Kama moja ya stimu ktk mwil wa Mwanamke, ukivaa shanga alafu mwanaume akushike kiuno vizur huku anazchezea shanga nitofaut na kiuno kisicho na shanga au cheni,pia shanga za kiunoni hutumika kumfanyia mwanaume masaji kwa kuzipaka mafuta ya Nazi shanga nakuztumia kumkandia.Kumkandia wapi na vipi jiongeze mwenyewe kichwan mwako ,asubuh njemaTueleze maana ya rangi
Kuzijulia kivipi?, zina ujuzi kumbe?Upate anaezijulia raha sana
Kumbe zinavaliwa ukiwa popote?Tangu nianze kuzivaa nimekuwa addicted, siwezi kutoka home bila shanga, hata nikiwa home , kazin lazima nizivae, nina pairs kama tano hivi na rangi tofauti.
Mimi popote navaaKumbe zinavaliwa ukiwa popote?
Namna ya kucheza nazo mpaka kuamsha vilivolalaKuzijulia kivipi?, zina ujuzi kumbe?
Ulijuaje?Kuna jamaa angu anavaa shanga kiunoni et anawavutia wadada. Hii imekaaje waungwana?
Wanaume wengi wa kabila la Wajita wanavaa shanga kiunoni kwasababu hiyo hiyo ya kuwavutia wanawake.Kuna jamaa angu anavaa shanga kiunoni et anawavutia wadada. Hii imekaaje waungwana?
Ni kama ulevi kwa mwanamke aliyezoea kuzivaa na kwa mwanaume anayezijulia namna ya kuzichekecha na kuzihesabu kwa lips za mdomo zikichanganywa na ulimi kwa ufundi wa aina yake. Inafikia hatua unamuona mwanamke namna anavojinyongoloa na kugugumia sauti za mahaba wakati huo kwa chini kule kalowana chapa chapa inabaki kazi moja tu ya kipekee iliyowaweka katika mazingira hayo ni mikito ya kufa mtu pasipo kufarikiNamna ya kucheza nazo mpaka kuamsha vilivolala
Vaa halafu nitafuteSijawai tumia ndo nafikiria hapa.
taratibu we mbaliz ni mchana wa jua kali sahizi ujueNi kama ulevi kwa mwanamke aliyezoea kuzivaa na kwa mwanaume anayezijulia namna ya kuzichekecha na kuzihesabu kwa lips za mdomo zikichanganywa na ulimi kwa ufundi wa aina yake. Inafikia hatua unamuona mwanamke namna anavojinyongoloa na kugugumia sauti za mahaba wakati huo kwa chini kule kalowana chapa chapa inabaki kazi moja tu ya kipekee iliyowaweka katika mazingira hayo ni mikito ya kufa mtu pasipo kufariki
Harakati za kutafuta maisha. Niligongea gheto.Ulijuaje?
Ulimgonga huyo mshkaji??alikugei sh ngap?Harakati za kutafuta maisha. Niligongea gheto.