blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,434
- 12,589
Wadau thread title iko wazi kabisa.
Ni kuhusu huu wimbo mpya wa Ney Wa Mitego. Hivi Mungu yupo.
Ametukana watu kule kwamba ni wapumbavu. Yeye anadai tumuache.
Sisi tunaoamini Mungu ni wapumbavu. Sasa hivi Katiba inasemaje juu ya hili. Au ndo vile Serikali haina dini so kila mmoja anaweza ropoka tu.
Hili limekaaje. Je, BASATA wameona ni sahihi kabisa Mungu kukashifiwa?
Yule msanii anakula bangi!?
Karibuni kwa maoni.
Ni kuhusu huu wimbo mpya wa Ney Wa Mitego. Hivi Mungu yupo.
Ametukana watu kule kwamba ni wapumbavu. Yeye anadai tumuache.
Sisi tunaoamini Mungu ni wapumbavu. Sasa hivi Katiba inasemaje juu ya hili. Au ndo vile Serikali haina dini so kila mmoja anaweza ropoka tu.
Hili limekaaje. Je, BASATA wameona ni sahihi kabisa Mungu kukashifiwa?
Yule msanii anakula bangi!?
Karibuni kwa maoni.