evance hubert
Member
- Oct 14, 2012
- 36
- 20
Poleni na mihangaiko ya kila siku.
Naomba kama kuna mtu anauelewa juu ya kilimo cha matunda machungwa kwa mikoa ya Tanga, Kibaha na morogoro (hata sehemu moja).
Anisaidie kunijuza juu ya ukulima huu kuanzia kwenye:
1. Aina bora ya machungwa yanayokubali sana maeneo hayo.
2. Gharama za upatkanaji wa mashamba.
3. Utunzaji wa miti ya machungwa kabla ya kuzaa mpka wakati wa kuvuna.
4. Gharama za vibarua na ulinzi wa shamba.
5. Changamoto zinazoweza kuvamia kilimo cha machungwa.
6. Upatikanaji wa masoko.
Naomba kama kuna mtu anauelewa juu ya kilimo cha matunda machungwa kwa mikoa ya Tanga, Kibaha na morogoro (hata sehemu moja).
Anisaidie kunijuza juu ya ukulima huu kuanzia kwenye:
1. Aina bora ya machungwa yanayokubali sana maeneo hayo.
2. Gharama za upatkanaji wa mashamba.
3. Utunzaji wa miti ya machungwa kabla ya kuzaa mpka wakati wa kuvuna.
4. Gharama za vibarua na ulinzi wa shamba.
5. Changamoto zinazoweza kuvamia kilimo cha machungwa.
6. Upatikanaji wa masoko.